Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Af cna speed me nko
Ado ado na cna sport yyt
Af unataka kunionea tu

Umemkandia daby mpaka
Kakimbia cjui kaenda
Kujenga kwa espy
Kule Alishaharibuuu afu usiku mkubwa ujue weekend hii kimvua kimenyesha cha kiuchokozi Wee unataka aone kitanda kikubwa??? Lazima akaombe poo Japo kishingo upande
 
deby na ww si ndio mlivyo. Mwenzako keshakimbia uzi na maneno yake ya kuwadanganya wadada.
Sasa hivi yupo uzi mwingine huko anamshika mtu masikio
Ddo ww naona unajongoa
Taratibu huko juu naona
Umeshaanza na kanga moko
Nyingine sasa

Hapa lazma utaniachatu
Ukubali ukatae

Ukatengeneze kwnyngne kama
Daby
 
We mpe pole tu, viwembe ndio walivyo wanajua ku ekti sana.
Na wanatia huruma , ila mwisho wa siku wanakutenda wanasepa.
Wewe unadhani espy sasa hivi ana hali gani?
Atakua kanunaa afu yule ndugu yangu ujue.. Skuli moja kabisa yani huyuu sijui anataka nini hapa
 
Ha ha a.. Hamna.. Daby yule ndugu yangu kwa hio naijua tabia yake.
Ila alishaanza kuvunja mila .. Yani anataka kumtenda dada yangu espy tena kwa sababu ya mtoto wangu kisura, my apple ,my eye, my hati biti ay everything mahondaw.
Unadhani ningekAa kimya si ningeonekana boya sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kweli.mwamba ngoma huvutia
Kwake
Hata kama hajui kipiga
 
Kule Alishaharibuuu afu usiku mkubwa ujue weekend hii kimvua kimenyesha cha kiuchokozi Wee unataka aone kitanda kikubwa??? Lazima akaombe poo Japo kishingo upande
Haa haa haa
Anaenda akilia machoz ya dam

Akikosa atahesabu mabat mpaka
Ayamalize ucku wa leo
 
Back
Top Bottom