Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
We mpe pole tu, viwembe ndio walivyo wanajua ku ekti sana.Pole jamani.
Na wanatia huruma , ila mwisho wa siku wanakutenda wanasepa.
Wewe unadhani espy sasa hivi ana hali gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpe pole tu, viwembe ndio walivyo wanajua ku ekti sana.Pole jamani.
Kule Alishaharibuuu afu usiku mkubwa ujue weekend hii kimvua kimenyesha cha kiuchokozi Wee unataka aone kitanda kikubwa??? Lazima akaombe poo Japo kishingo upandeAf cna speed me nko
Ado ado na cna sport yyt
Af unataka kunionea tu
Umemkandia daby mpaka
Kakimbia cjui kaenda
Kujenga kwa espy
Ddo ww naona unajongoadeby na ww si ndio mlivyo. Mwenzako keshakimbia uzi na maneno yake ya kuwadanganya wadada.
Sasa hivi yupo uzi mwingine huko anamshika mtu masikio
Atakua kanunaa afu yule ndugu yangu ujue.. Skuli moja kabisa yani huyuu sijui anataka nini hapaWe mpe pole tu, viwembe ndio walivyo wanajua ku ekti sana.
Na wanatia huruma , ila mwisho wa siku wanakutenda wanasepa.
Wewe unadhani espy sasa hivi ana hali gani?
Nakupenda sana ndio maana.Asante sana kwa ulinzi shirikishi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haa haa haaKule Alishaharibuuu afu usiku mkubwa ujue weekend hii kimvua kimenyesha cha kiuchokozi Wee unataka aone kitanda kikubwa??? Lazima akaombe poo Japo kishingo upande
mlinz sku zote n wa getin tuNakupenda sana ndio maana.
Haya manmbo ni automatic
Wenzie twalaaaAkisusa.......,,,,
Haa has haaa me n hapa
Angaliwa.. Kuna kula na ..........wa.Wenzie twalaaa
Heee!Teh mbona Mi namuelewa sana tatizo yeye ndo hajielewi