Kero vituko na vioja vya majirani

Shemeji unanigawa tu kama fungu la nyanya!!
Shem wangu nisamehe bwana!
Hapo nlikuwa namtania tu huyo jamaa.
Huyo ni mkurya , wanadunda sana wake zao siwezi kukupeleka huko.
Ngoja mahondaw ajipeleke akaoteshwe manundu
Manake nishaonesha dalili zote ila ananiruka ruka ..
Mara amchekee daby sa hivi mara anamwambia usser sijielewi.
Hapo maana yake akufukuzae.....
Ningoje nini tena dada yangu.
Ngoja niwe mtawa tu.
 
Kumbe Daby ni muraaa???? Yooooooooo!!!!!!! Nafwaaaa!!!!
 
Mimi nimesema nasubiria kileleni hukuu atafika anibebe mzima mzima hata sipingi make ndo atakua mshindi
 
Mimi nimesema nasubiria kileleni hukuu atafika anibebe mzima mzima hata sipingi make ndo atakua mshindi
Mi nitakula kwa macho kama "AY...zigo"
.....sitaki mashindano.. Mwisho wake mbaya.. Lazima kuna pendekezo lako haiwezekani upende watu wengi at once.

Its a big joke!
 
mahondaw jina lako linanishinda kulisoma na kulitamka, msaada tafadhari maana kila nikilisoma lina sound kama MAKONDA !!! 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…