Kero vituko na vioja vya majirani

Defeteeeeeeeeddddd!!!!
 
Afu nlikuwa nishakuandalia mistari mitamu ya good night"
Anyway wewe ndio mwamuzi.. Ila umeshindwa kutaja mshindi.
Good Night though!
Thanks so much.. Have a good night and sweet dreams friend.. Thanks again
 
Haa haa haa haa
Co kwa gazet hili sawa nenda tu
Mfungwa hachagui jela

Mahondaw nmeshamdaka
Na kuanzia leo umheshim kama
Shemej yako
 
Hayaa tundoke Mrs usser wang
Maana kilele kimefka tamat
Tukajipunzshe

Ngoja nkuchukulir juice hapa
Kwa mangi uslale na kiu eeh
Duh walau nipoze koo kwanza si kwa uchovu huu lol! Hivi nitalala vizuri kweli Leo
 
Haa haa haa haa
Co kwa gazet hili sawa nenda tu
Mfungwa hachagui jela

Mahondaw nmeshamdaka
Na kuanzia leo umheshim kama
Shemej yako
Shemeji gani.
We huoni nimekuachi tu, mwenzako nilishapenda kiukweli kweli afu sipendi kuumia bora nijiepushe mapema .. Mtoto alishaonyesha kuniponda kwa nn nisijitoe ningoje kuumizwa badae
 
Not defeated.
I just quited the battle.
Thats was a stupid battle ever.
Tehteh!!!!! Now!!!!!!!!!!!!! ????????? After failure to meet your objective??!!!!!!!! Hahahaha Saint buana
 
Naondoka bila bila jamani lol!
Hee unanzia wap kwa mfano
Hee kutoka kutambaa had
Kuinuka kukimbia af uende no

Twaondoka wote mahondaw
Wang cc haoooooo
Kaskazin twenzetu Mrs usser
Wang hata mungu ameshatubariki
 
Hee unanzia wap kwa mfano
Hee kutoka kutambaa had
Kuinuka kukimbia af uende no

Twaondoka wote mahondaw
Wang cc haoooooo
Kaskazin twenzetu Mrs usser
Wang hata mungu ameshatubariki
Naona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati picha
 
usser sweetdarling wherayuuuuuuu!!!!!???
Si unaona.. Hapo umeniquote ili uniumize au???
Ndio shida ya wasichana. Ulishindwa nini kuniambia hunipendi eti unajifanya" nataka kuona mshindi"
Wakati mm nilishakusoma zamani.
 
Duh walau nipoze koo kwanza si kwa uchovu huu lol! Hivi nitalala vizuri kweli Leo
Eeeh tena ucngz mwanana
Kabsaaaaa maana
Mfariji wako na ulichaguliwa na
Mungu sasa n rasmi umejizolea
Wako pekeako sasa stress
Tupaa kuleeeee

N kurlax tu na mr
 
Naona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati picha
Na uliyempenda mwenyewe hakupendi wala nni.
Na wala hakuwa hata na mpango na wewe.
Umejipeleka atakula leo kesho kutwa hayupo.
Kapata nyama leo...
Tena ya bure bure .. Rahisi rahisi. ... Battle ilikuwa mm na deby.
 
Haa haa haa toa mshiind
Bhn Ayaaaeee
And the winner is..... is.....is... Yuzaaaaaaaaa.... Hug hug hug hug...... Kisses kisses muahhhhh!!!! bai baaaiii Saint we are leaving usser honey let's go to parrrrryyyyyyy
 
Eeeh tena ucngz mwanana
Kabsaaaaa maana
Mfariji wako na ulichaguliwa na
Mungu sasa n rasmi umejizolea
Wako pekeako sasa stress
Tupaa kuleeeee

N kurlax tu na mr
Wewe jamaa una bahati sana.
Yule wa juzi ulibeba kiulaini hivi hivi.. Baada ya wale jamaa kugombana.
Leo tena mtoto kipofu kajileta kibla mwenyewe.
Hahaha..
 
Na uliyempenda mwenyewe hakupendi wala nni.
Na wala hakuwa hata na mpango na wewe.
Umejipeleka atakula leo kesho kutwa hayupo.
Kapata nyama leo...
Tena ya bure bure .. Rahisi rahisi. ... Battle ilikuwa mm na deby.
Both you and Daby were defeated... Accept the truth.
Bai baaaiii
 
Naona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati picha
Haa haa haa kabsaaaaa
Usku wa leooo mtam sanaa
Waoooo[emoji126] [emoji125] heeee
Patam leoo
 
Wewe jamaa una bahati sana.
Yule wa juzi ulibeba kiulaini hivi hivi.. Baada ya wale jamaa kugombana.
Leo tena mtoto kipofu kajileta kibla mwenyewe.
Hahaha..
Huna nyota Saint nyotaa kaogee maji ya bahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…