Defeteeeeeeeeddddd!!!!Mchukue tu sa hivi.
Ujue mwanamke hagandwi.
Ukimganda mwanamke hata kama unampenda sana utaumia tuu siku moja isiyo na jina.
Manake atakuwa na wewe ila mawazo yake yako mbali.
Mm nataka mke wa amani ndani kuwe na amani watoto waishi kwa amani na kwa upendo wa Mungu.
Im saint. I cant handle this battle any more.
Ujue mwanaume unaweza kupenda wanawake wengi ila atakayekupebda ndio unamchukua huyo huyo .
Na wengine wote unaweka pembeni.
Ila usawa huu mambo ya vidume watatu mnakomaa na mwanamke mmoja si ndio mwanzo wa kupangwa.?
Im out.
Ila nampenda saba tu.
Not defeated.Defeated!!!' Hahahahah pole sana
Haa haa haa haaMchukue tu sa hivi.
Ujue mwanamke hagandwi.
Ukimganda mwanamke hata kama unampenda sana utaumia tuu siku moja isiyo na jina.
Manake atakuwa na wewe ila mawazo yake yako mbali.
Mm nataka mke wa amani ndani kuwe na amani watoto waishi kwa amani na kwa upendo wa Mungu.
Im saint. I cant handle this battle any more.
Ujue mwanaume unaweza kupenda wanawake wengi ila atakayekupebda ndio unamchukua huyo huyo .
Na wengine wote unaweka pembeni.
Ila usawa huu mambo ya vidume watatu mnakomaa na mwanamke mmoja si ndio mwanzo wa kupangwa.?
Im out.
Ila nampenda saba tu.
And the winner is usser.Defeteeeeeeeeddddd!!!!
Shemeji gani.Haa haa haa haa
Co kwa gazet hili sawa nenda tu
Mfungwa hachagui jela
Mahondaw nmeshamdaka
Na kuanzia leo umheshim kama
Shemej yako
Hee unanzia wap kwa mfanoNaondoka bila bila jamani lol!
Haa haa haa toa mshiindDefeteeeeeeeeddddd!!!!
Naona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati pichaHee unanzia wap kwa mfano
Hee kutoka kutambaa had
Kuinuka kukimbia af uende no
Twaondoka wote mahondaw
Wang cc haoooooo
Kaskazin twenzetu Mrs usser
Wang hata mungu ameshatubariki
Si unaona.. Hapo umeniquote ili uniumize au???usser sweetdarling wherayuuuuuuu!!!!!???
Eeeh tena ucngz mwananaDuh walau nipoze koo kwanza si kwa uchovu huu lol! Hivi nitalala vizuri kweli Leo
Na uliyempenda mwenyewe hakupendi wala nni.Naona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati picha
Wewe jamaa una bahati sana.Eeeh tena ucngz mwanana
Kabsaaaaa maana
Mfariji wako na ulichaguliwa na
Mungu sasa n rasmi umejizolea
Wako pekeako sasa stress
Tupaa kuleeeee
N kurlax tu na mr
Haa haa haa kabsaaaaaNaona na mtakatifu keshatoa baraka zake kwaraha zeitu hapooo nahii baridi lol sipati picha