Kero vituko na vioja vya majirani

Majirani wanakera kiukweli japo siyo wote lkn utashangaa wanavimba macho kanakwamba wao ndo wanakutafutia riziki yako.
 
usser darling huyu mtoto hataki kulala kesho awahi shule tumfanyeje??
Kashakukimbia mwenzako.. Unadhani alikuwa na nia basi?
Toka mwanzo mm ndio nilionyesha upendo wa kweli.. Ukabeti vibaya mkeka umechanika.
Wewe ruka ruka ila wewe ni wangu i bet100%..
Unaowataka hawakupendi
 
Kashakukimbia mwenzako.. Unadhani alikuwa na nia basi?
Toka mwanzo mm ndio nilionyesha upendo wa kweli.. Ukabeti vibaya mkeka umechanika.
Wewe ruka ruka ila wewe ni wangu i bet100%..
Unaowataka hawakupendi
Hahahaahhahahaahahahahaha
 
usser darling huyu mtoto hataki kulala kesho awahi shule tumfanyeje??
Bae huyu mtt atalala tu
C unaona anacnzia kamechoka
Anaanza kutafta kitanda mahali kipo

Kesho cjui ataamka sa nne
Maana wenzie wameshalala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…