Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Kero yangu ni majirani kupiga story za makanisani kwao kwanguvu,yaani sipendi,hebu cheki leo kitu walokuwa wana hadithiana.

Padri alikuwa anafuga kuku. Siku moja jogoo akapotea. Basi akaamua kutangaza Kanisani.
PADRI: Wangapi wana jogoo? Wanaume wote wakasimama.
PADRI: Sio hivyo jamani! Wangapi wameona jogoo? Wanawake wote wakasimama.
PADRI: Loh! Hamjanielewa ndugu zanguni! Wangapi wamemuona jogoo wangu?? Masista wote wakasimama.
PADRI akapoteza fahamu...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Padri alikuwa anafuga kuku. Siku moja jogoo akapotea. Basi akaamua kutangaza Kanisani.
PADRI: Wangapi wana jogoo? Wanaume wote wakasimama.
PADRI: Sio hivyo jamani! Wangapi wameona jogoo? Wanawake wote wakasimama.
PADRI: Loh! Hamjanielewa ndugu zanguni! Wangapi wamemuona jogoo wangu?? Masista wote wakasimama.
PADRI akapoteza fahamu...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Bae huyu mtt atalala tu
C unaona anacnzia kamechoka
Anaanza kutafta kitanda mahali kipo

Kesho cjui ataamka sa nne
Maana wenzie wameshalala
Mimi mkongwe wewe.. Hata hujaangalia profile yangu?
Muulize mahondaw anapajua ndani kwangu
 
Yani wewe umenishangaza kweli yani!!!!
Jamaa alikuwa hana hata lile.. Umemganda kama luba.. Sio fresh
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Bdo utasema sana
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Bdo utasema sana
Hahha afu nianze kuku expose nini?
Kama nikivyo mu expose dany hadi akasusa..
Wewe ni ndugu yangu ujue ..
Nimekufichia
mengi afu unakuja kunibebe mwanamke wangu kirahisi tuu bro.
Unajua amenichukia kwa sababu ya mistake zangu ila ukiendelea kuniponda nitatapika kila kitu kama wema sepetu alivyomtapikia makonda. We niponde tu uone kama leo utaigusa hio papuchi
 
Tatizo lako maneno meeeeengi.. Hutendi.. usser is a man of actions haha utamkubali utake usitake
Action gani kakufanyia sasa.
Hayo maneno inatakiwa ukawahadisie wanawake wenzako sio mimi.
Mimi nikitaka papuchi nitapata kokote sio lazima wayu watatu wote tule papuchi yako.
Ina tv ndani?
 
Teeeena napajua vizuri mnoo
Najua utarudi tu manake nimeshakuzoezesha mziki mnene.
Hiko kiusser cha arusha kikashiba mirungi hakina pumzi.
Hata wiki hutamaliza nacho, underperfomance na kipigo kitakufanya urudi kwa mumeo akupendaye
 
Action gani kakufanyia sasa.
Hayo maneno inatakiwa ukawahadisie wanawake wenzako sio mimi.
Mimi nikitaka papuchi nitapata kokote sio lazima wayu watatu wote tule papuchi yako.
Ina tv ndani?
Macho kuvimba utaisomaaaaa hahahaah
 
Kuna nyumba nlpanga zamanii.... Sasa nlkua nabadlisha madem kwa siku ata wa3 kilchokua kinankera n mtt wa mwenye nyumba mdogo ka miaka 7au9 Iv kakiniona tuu na dem kanaanza kuimba lova boy lava boy......nlkua nataman kukupiga kwenzi sema tuu kalkua kanaimba mbele ya mama ake
 
Back
Top Bottom