Kero vituko na vioja vya majirani

[QUOTE="Daby, post: 19790501, member: 255586"..Lady of actions.[/QUOTE]

[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
Niguse uonee
 
Mimi buana jirani yangu kajua nafanyankazi TBL basi naona analazimisha urafiki salaam nying wakati mwazo hakuwa ivyo
Pole sana.. Uwe unamualika kwenye family day akanywe tani yake.
 
Jirani mpk atake kukubaka lazima mlikuwa na mishe za kutaka kukazana tu
Ni maoni yako.. Ndokwanzaaa siku yakwanza nimeajiriwa nmeripot kazini tu nimetoka zangu kishumundu huko kuja mkoa mpya wilaya mpya kata mpya kijiji kimya kitongoji kimya nimefika mida ya Jioni sina hata ninapopajuaa yeye katumwa kuja kunipokea .......... .
Daby
 
Nipo vizuri kwenye umbea wa kuperuzi peruzi...is only matter of th time . Nitaiona
Ni ya mda mrefu tangu huyo kaka hajaoa mpaka sasa ameshaoa ndo vituko vinazidi yani
 

Aah nimeona aseeh
Huyo jamaa anatatizo la kisaikolojia
 
kazini naishi kotaz umbali wa nyumba na nyumba mita mia moja unatenganishwa na msitu wa miti na mahindi. kukutana ni kazini na siku ya kusali jumuiya tu.
Hata mi naishi kotaz ila kota zipo karibu karibu mpaka kero. hao wote ni watumishi ujue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…