Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]Nishawahi kutoka kichakani na kundi la siafu mwilini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]Nishawahi kutoka kichakani na kundi la siafu mwilini!!!
Afu wewe jamaa ujue nishakuambia sikuelewi. Upo nyuma nyuma kama fisi. Afu picha yako ya sizitaki mbichi hizi nikuunganisha dots na ukijumlisha na daby ndio kabisa napandwa na pressure.papara nmewachia wadogo
Zang wakijarbu kuinuka
Me ado ado ila hata wakija na
Bombadia wanapata tu vumbi
Huyo ni shemeji yangu.Chukuaneni basiii
Mkuu sio wivu.Mkuu acha wivu kuwa na roho ya kiume
Mkuu mi sipendi wala sijawahi ila nilipenda nione jibu tuKwani nawewe unapendelea vichakani??
Shemeji usijali jamaa akisusa mimi sitakula .Huyo ni shemeji yangu.
Namna zipo labda ukiiba mke wa mtu ndo mnamalizana kichakani (natania tu)Ushawahi kuishi kijijini kwani?
Kule hakuna namna nyinginw ujue
Haa haa haa afe kipa afe bekNani wa kuzimia??? Tutapambana asee hutoamini
Ha haa haaAfu na wewe jamaa sikuelewi ujue. Mara umenunua mirinda nyeusi.
Aisee mnataka nijiue ili mkaandike insta?
Porini ni chap chap . Na mara nyingi mwanaume ndie anayenogewa na kumaliza . Msichana labda kama alikuwa horny sana na anampenda sana jamaa ndio atafika mwisho haraka.Porini Havinogi bana mazingira yake not conducive
Hahaha kwa hiyo unamtafutia shemeji bwana,Shemeji usijali jamaa akisusa mimi sitakula .
Ameshajileta mwenyewe na asitoke.
Hakuna kususa hapa
Wewe nawe unatongozwa na shemeji hata hustukiHuyo ni shemeji yangu.
mahondaw sijashindwa and i wont give up!!saint keshaonesha kushindwa kabisaa Tehteh yani yuko hoi chakalii
Sasa unashindwaSitaki kushika mapembe.
We humuoni daby nini ?
Mtoto kashafika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sn tena kwa sauti dahView attachment 471996
Huu ni moja ya mifano michache ambayo huwakuta jirani zangu....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
deby mimi saint, shemeji wala hana nia ya kunitongoza, hujamwelewa tu.Hahaha kwa hiyo unamtafutia shemeji bwana,
Wewe nawe unatongozwa na shemeji hata hustuki
Kweli hamtak mchezoTunapenda visuuuu si viwembe