Mbina yaza
Member
- Apr 8, 2023
- 65
- 172
Leo asubuhi nilienda kupata huduma pale ofisi za Jiji Dodoma! Nikiwa pale kwenye foleni kwa kwenda kuonana na mtoa huduma wangu,nilipata udhuru,nikasema ngoja niende maliwatoni nikapate huduma za kila siku za kijamii!
Kusema na kweli, baada yakuona tu ule mlango wa kuingia chooni,nilikutana na harufu kali sana,kiasi cha kwamba kama kuna sayansi yoyote ningeweza kuiweka hapa! Ni harufu kali sana!
Nilishangaa sana baada yakuingia mle ndani kwenye vyoo vyao,yaani hadi huduma ambayo ilinipeleka kule,ilipotea ghafla,nikajikuta nashangaa tu mwenyewe!
Naambatanisha picha za hivyo vyoo!
Kusema na kweli, baada yakuona tu ule mlango wa kuingia chooni,nilikutana na harufu kali sana,kiasi cha kwamba kama kuna sayansi yoyote ningeweza kuiweka hapa! Ni harufu kali sana!
Nilishangaa sana baada yakuingia mle ndani kwenye vyoo vyao,yaani hadi huduma ambayo ilinipeleka kule,ilipotea ghafla,nikajikuta nashangaa tu mwenyewe!
Naambatanisha picha za hivyo vyoo!