KERO Kero ya maji safi jijini Dodoma, Waziri Aweso ingilia kati

KERO Kero ya maji safi jijini Dodoma, Waziri Aweso ingilia kati

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

hijacker

New Member
Joined
Jan 25, 2018
Posts
2
Reaction score
2
Yapata wiki tatu sasa jiji la Dodoma hususan mitaa yote ya Kisasa maji hayatoki. Cha kushangaza sio mamlaka ya maji Dodoma (DUWASA) au mamlaka za Serikali Wilaya na Mkoa wa Dodoma waliojitokeza kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hii ambayo sasa imegeuka kuwa kero na hadha kubwa kwa wananchi.

Waziri Aweso, ebu ingilia kati suala hili maana wananchi wanahoji kulikoni hadi wapitie mateso makubwa kiasi hiki?

==== ======

Changamoto ya maji ni kuanzia Area A, Chamwino, Chinangali, Kizota, Mnada Mpya, Mtyuka, Mkonze na Chidachi.

photo_2024-10-01_09-48-13 (4).jpg

photo_2024-10-01_09-48-13 (3).jpg

Pia soma:
~
Dodoma: Kazi ya uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa utaanza siku ya Jumatatu Oktoba 07, 2024
~ Waziri Aweso: DUWASA hakikisha mnatafuta suluhisho la muda mfupi maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa maji, hasa ya pembezoni mwa Mji wa Dodoma
~ Dodoma: DUWASA imeanza uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa-Mwangaza
 
Yapata wiki tatu sasa jiji la Dodoma hususan mitaa yote ya Kisasa maji hayatoki. Cha kushangaza sio mamlaka ya maji Dodoma (DUWASA) au mamlaka za Serikali Wilaya na Mkoa wa Dodoma waliojitokeza kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hii ambayo sasa imegeuka kuwa kero na hadha kubwa kwa wananchi.

Waziri Aweso, ebu ingilia kati suala hili maana wananchi wanahoji kulikoni hadi wapitie mateso makubwa kiasi hiki !!!?
Ni shida kwa kweli, Chanzo Cha maji Mzakwe yamekuwa makao makuu na watu kuongezeka vyanzo ni vilevile na ingawa na Bado walisema kuna mradi wa Nzuguni.Umeanza na kukamilika Bado shida ipo palepale!
 
Back
Top Bottom