Kero ya miguno ya mapenzi kwa mpangaji mwenzangu

Kaa tu maana inaonekana unafurahia kwelikweli sasa kukushauri uhame ni sawa na kukukatili uhondo
 
viagra imepigwa marufuku.
 
Umejuaje kama anatumia hiyo Viagra??
 
Dalili mbaya kabisa hii kuwa addicted na miguno ya wanawake anaogonga jirani yako kuna siku utajipeleka nawe ukaone hicho wanachofaidi,utaliwa dogo.
 
Hama nyumba au fungulia redio ukiweka mawaidha ya Sheikh Mussa
Hahaahahahaha!! Watu wanajiachiaaaaa kwaraha zao!!! [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]!!
Thubutuuuu kukutwaaaaa babuu lazima uhahee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…