Kero ya misafara ya viongozi Dar es Salaam

Kero ya misafara ya viongozi Dar es Salaam

Sappire

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2024
Posts
3,447
Reaction score
8,896
Hii misafara ya viongozi wetu inakera sana.Leo nimeonja adha ya hii kero haba mbezi karibu na standi kuu ya mabasi ya magufuli.

Nina mgojwaa nawahi hospitali lakini gari zimezuiwa na nimejaribu kuwa eleza hawa askari wanadai watanichapa makofi nikilazimisha Kwa kudai Kuna kiongozi mzito anakuja.

Nimekereka sana yaani huyo kiongozi mzito wanayedai ni ameweka na nani madarakani?

Au yeye ni muhimu sana kuliko watu wengine? Yaani masaa manne tumesimamishwa tunasubiri kiongozi apite ambaye huenda amepata madaraka Kwa kura za wizi.

Nchi hii imekuwa ya hovyo sana
 
Pole mkuu, ulidhani wanajaoi basi hali za watu? Na hao askari ni km maroboti, hawana reasoning. Ni order tu, hata katika fragile situation.
 
Haijafika masaa manne acha uongo,ni kama saa moja na nusu tu hivi Kiongozi akapita.
 
Kwa jinsi miundombinu ya majiji yetu ilivyo viongozi wangetafuta namna nyingine ya kusafiri aisee.
Kuna wengine hata hawahitaji ving'ora ila ndio hivyo sasa kila mmoja anataka kupishwa.
 
YOte kwa yote Pole kwa changamoto, ila kusema umekaa masaa ma4 umechapia pakubwa sana !
 
Back
Top Bottom