milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
mkuu upo kama mm.Bado sijafika level za kula hotel so kwangu ni mgahawan na mama ntilie lakin kote huko sijawahi kuvumilia kutumia vyombo vya plastic au bati kwa kulia chakula au kunywea chai/maji.
Kwa kifupi vyombo vya plastic na masahan yale ya bati yenye partition huwez kuniwekea chakula nikala.Siwez hata siku moja bora nikae na njaa yangu.
Ishu nyingine ni kwamba huwe najiskia kichefu chef kabisa kula mchuzi au mboga iliyoungwa na nyanya halaf nyanya hizo zikashindwa ku dissolve kwenye harakat za kukaanga mboga.Nikiiona nyanya (vipande) ambavyo vinaonekana waz waz kwenye mchuzi aaah hapo kwangu bonge la mtihan.
Kwa kifupi nina maeneo maalum ya kula sio kila sehem naweza kula kwa kuzingatia vigezo /changamoto tajwa hapo juu
Nawasilisha
tatizo wanakuwa na haraka kuwahi watejaKuna siku nilikuwa na njaa kali nikapita mgahawani nipate msosi. Sahani zikaadimika, nikaona niwahimize waliokwenda kuandaa Sahani hizo.
Nilipofika wanapozisafishia nikayaona yale maji waliyokuwa wanasafishia , nilirudi mbio nikapitiliza mkate na soda kwanza ili kupunguza stress
Ahahahahaha....mkuu upo kama mm.
nikionaga sahani za plastiki najisikia kichefuchefu.
na hayo manyanya yakiwa hayajaiva ndo sigusi kabisa bora nile wali mkavu
Labda alitoka kununua mkaa mtaa wa jirani.sio kila mara unakula nyumbani. mara nyingine unalazimika kwenda kula migahawani au mahoteli. Ni experience gan mbaya ushakutana nayo? weka kero yako hapa.
as for me, kuna siku nimeenda kula kwa mamantilie mmoja hivi maeneo ya sabasaba Dodoma. kuna mhudumu mmoja mzuri kama malaika ana rangi ya kahawia na alikuwa na msambwanda mkubwa sana na alivaa suruali iliyomkaa vema.
wakati ananihudumia nilipigwa na harufu kali ya jasho la kwapani hadi hamu ya kula ikaisha. nikatoka nduki sikurudi tena.
share ur experience
Usikatike stim mkuu kale TU,mi nilikuta kifungu cha nywele ktika wali sijui zilikuwa za juu Kati au chini njaa ikantumbukia nyongoUsinikate stimu mkuu, nimekaribia kwenda gengeni hapa
Mi nashukuru kwa kuwa nimepata chanzo kingine cha pesamifuko ya plastic ndiyo hotpot ya kutunza joto, madhara yake ni makubwa mno hasa kwenye magonjwa ya kansa. nashukuru serikali kupiga marufuku matumizi ya mifuko hii
Jana nimefika kwa mama ntilie anauza supu alikuwa amekata nyama mapande makubwa ukihitaji ya kiasi chochote cha fedha kuanzia elfu anakukatia basi nikaomba ya 2k si akaanza kuchagua into nzuri kwa mikono haa! Nilimwambie nitakula mishikaki aache tuMi nashukuru kwa kuwa nimepata chanzo kingine cha pesa