milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
sio kila mara unakula nyumbani. mara nyingine unalazimika kwenda kula migahawani au mahoteli. Ni experience gan mbaya ushakutana nayo? weka kero yako hapa.
as for me, kuna siku nimeenda kula kwa mamantilie mmoja hivi maeneo ya sabasaba Dodoma. kuna mhudumu mmoja mzuri kama malaika ana rangi ya kahawia na alikuwa na msambwanda mkubwa sana na alivaa suruali iliyomkaa vema.
wakati ananihudumia nilipigwa na harufu kali ya jasho la kwapani hadi hamu ya kula ikaisha. nikatoka nduki sikurudi tena.
share ur experience
as for me, kuna siku nimeenda kula kwa mamantilie mmoja hivi maeneo ya sabasaba Dodoma. kuna mhudumu mmoja mzuri kama malaika ana rangi ya kahawia na alikuwa na msambwanda mkubwa sana na alivaa suruali iliyomkaa vema.
wakati ananihudumia nilipigwa na harufu kali ya jasho la kwapani hadi hamu ya kula ikaisha. nikatoka nduki sikurudi tena.
share ur experience