Kero za muungano zinaongezeka. Majimbo Z'bar yanawakilishwa na watu wawili bunge la katiba

Kero za muungano zinaongezeka. Majimbo Z'bar yanawakilishwa na watu wawili bunge la katiba

Hivi SMZ inachangia kiasi gani kuendesha hili bunge la katiba?
 
Huo muungano kwanini tanganyika waung'ag''anie?

Mke mwenyewe tasa! Kupewa talaka hataki! Na kumruhusu mume kuongeza mke pia hataki!

Duhh ama kweli Tanganyika nuksi!

Hapana tanganyika ni shamba la bibi kila ajae na avune, bado wananchi wake wamelala nahisi wamepewa limbwata la kutojitambua.
 
Mngekuwa mnajielewa msingekubali kuwa parasite. Kupe... tena kupe aliyeshika kwenye perennial region. Kama hujui maana ya hilo neno google...

Tunza kinywa chako kama karo la choo, Cheupe njoo Zanzibar basi tukunyweshe chai mtoto!
 
Wana JF,

Kila kukicha tunaaminishwa kuwa Serikali mbili ndiyo muafaka wa muungano na kero zake zinaweza kushughulikiwa. Ila mimi naona kila kukicha kero hizo zinaongezeka.

Kwenye bunge la katiba Majimbo ya uchaguzi ya Zanzibar yanawakilishwa na watu wawili wawili. Watanganyika wengi wanayaona majimbo ya Zanzibar kuwa yana ukubwa sawa na kata au vijiji vya upande wa Tanganyika.Hata hivyo la kukera zaidi ni kuwa katika bunge la katiba jimbo moja Zanzibar linawakilishwa na mbunge pamoja na mjumbe wa baraza la wawakilishi wakati pamoja na ukubwa wake, majimbo ya Tanganyika yanawakilishwa na mbunge tu.

Akili zako mbovu na utabaki kulalamika sana kuhusu wazanzibar,wale wenzetu wanajitambua sisi makabwela tumefeli baada ya kuipoteza TANGANYIKA ,km nasi tunataka hayo lazima tuirejeshe tanganyika yetu na sio kukaa kupiga kelele kama tulofumaniwa na mash...ga,sisi tanganyika tumeiua wenzetu zanzibar yao wanayo na ndio maana kila jimbo ni wawili mmoja wa zanzibar mwengine wa muungano,tuwache kupiga kelele wa kumlaumu ni nyerere na wafuasi wake,ili nawe jimbo lako liwe na wawakilishi wawili wa tanganyika na muungano sasa ndio wakati wake kumwambia aliekuwakilisha wapiganie tanganyika irejee laa sio hivyo utabaki kila siku kulalamika kwenye jamii forum na hutapata msaada wowote,zinduka badilika mkuu.
 
haya ndio mamabo yanayowashushia sana heshima watawala wa zenj, na kupelekea zenj kuwa n ahatama mbaya sana.Hawajazi nafasi kwa competente persona,na mbaya zaidi hawataki kubali kuwa kuna wakristu wazuri na wenye alimu bora ingawa ni wachache sana. ubaguzi utawatafuna sana

We mbulula!
Ya nini kuandika kiingereza wakati HUJUI??

Hivi utakuwa na akili ya kujadili lini!?

Hii misukule ya chadema ni janga la taifa!
 
haya ndio mamabo yanayowashushia sana heshima watawala wa zenj, na kupelekea zenj kuwa n ahatama mbaya sana.Hawajazi nafasi kwa competente persona,na mbaya zaidi hawataki kubali kuwa kuna wakristu wazuri na wenye alimu bora ingawa ni wachache sana. ubaguzi utawatafuna sana

Welcome back mleviboy
 
We mbulula! Ya nini kuandika kiingereza wakati HUJUI?? Hivi utakuwa na akili ya kujadili lini!? Hii misukule ya chadema ni janga la taifa!
Wewe ni takataka kabisa..upo busy na mistari kibao ya Biblia na ya Quran..huku ukiw ana rundo la matusi...Wewe ni chukizo kwa Mungu.... Matusi uliyoto hadi sasa umedhalilisha dini uliyokuwa ukipgania kuliko osama na ugaidi wake.....mwisho wa siku mtabaki kuwa losers for life.
 
Wewe ni takataka kabisa..upo busy na mistari kibao ya Biblia na ya Quran..huku ukiw ana rundo la matusi...Wewe ni chukizo kwa Mungu.... Matusi uliyoto hadi sasa umedhalilisha dini uliyokuwa ukipgania kuliko osama na ugaidi wake.....mwisho wa siku mtabaki kuwa losers for life.

Teh teh teh!

Who can be more looser than you! Whom you choose alcohol to be your wife and your lover!

Look at your face man!
You look like a bee just sting you!


Teh teh teh teh!
 
Back
Top Bottom