connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Wadau natumaini wazima yapata mwaka sasa toka nianzishe biashara yangu ya MINI SUPERMARKET sasa nikaona ngoja nifanye kihalali nikaenda TRA so nkatakiwa kulipia kodi ya MAPATO duuh sasa huo usumbufu wa kulipia kodi pale MWENGE (Mkoa wa ki-Kodi wa KINONDONI) unanifanya nifikirie kukwepa kodi maana kwanza huo mlolongo wa mpaka kulipa kodi na majibu mabovu ya staff wa TRA unanichosha yaani mtu unawapelekea pesa bila kulazimishwa lakini mpaka unajuta fikiria unafika unajaza fomu, unapanga mstari kuelekea dirishani ati kupigiwa muhuri kisha uelekee benki (NMB) nako mzinga wa foleni kisha urudi tena TRA zinga la Foleni tena in short unahitaji siku nzima.
SASA kupata ROAD LICENCE unafuata utaratibu wa kwenda mapokez uchukue fomu, zen dirishani kuandikiwa kiasi cha kulipia zen uende benki urudi tena kwenye foleni ya kuelekea dirishani TRA ukifika unaambiwa uje baada ya SIKU 3. Duuuh! Mimi nililipia tar 13/05/2013 nikaambiwa nije Alhamisi 16/05/2013 kurudi nikaambiwa Road Licence bado niende Ijumaa 17/05 nikaambiwa bado nije j3 (20/05) nikaenda nikaambiwa niende Alhamisi 23/05/2013 duuh kweli namna hii watu watakuwa motivated kulipia kodi au mnatufundisha kukwepa kodi?
SASA kupata ROAD LICENCE unafuata utaratibu wa kwenda mapokez uchukue fomu, zen dirishani kuandikiwa kiasi cha kulipia zen uende benki urudi tena kwenye foleni ya kuelekea dirishani TRA ukifika unaambiwa uje baada ya SIKU 3. Duuuh! Mimi nililipia tar 13/05/2013 nikaambiwa nije Alhamisi 16/05/2013 kurudi nikaambiwa Road Licence bado niende Ijumaa 17/05 nikaambiwa bado nije j3 (20/05) nikaenda nikaambiwa niende Alhamisi 23/05/2013 duuh kweli namna hii watu watakuwa motivated kulipia kodi au mnatufundisha kukwepa kodi?