kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
wakuu habari zenu mimi mfanyabiashara wa viatu vya kike tatizo lilionitokea hili mteja alikopa viatu vya elfu kumi tano akalipa akabakiza elfu mbili sasa akaja tena dukani akaomba kukopa mkoba elfu kumi sasa vile viatu imepita wiki tatu kavaa vikambandukia sorry kakataa kumaliza deni la mkoba je ni halali wakuu isitoshe me viatu nilichukua kkoo kwa dazani sikujua ubora wake maana me nilchagua vizuri ili kuwavutia wateja sasa nimfanyaje huyu mteja wadau maana naona kanikata faida