Kero

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Habarini wakuu
Nina dukuduku langu kuhusu hawa maxcom a.k.a maxmalipo yaani kila unapoenda kununua luku wanakuambia hakuna network, kama wameshindwa kazi waseme maana imekuwa kero sana wakifuatiwa na wenzao wa mpesa. Binafsi nawasihi wawajali wateja wao
 
do!kaka ili linchi linakela kila section we acha tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…