Kero

Kero

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Habarini wakuu
Nina dukuduku langu kuhusu hawa maxcom a.k.a maxmalipo yaani kila unapoenda kununua luku wanakuambia hakuna network, kama wameshindwa kazi waseme maana imekuwa kero sana wakifuatiwa na wenzao wa mpesa. Binafsi nawasihi wawajali wateja wao
 
Back
Top Bottom