Kesho April Mosi mjiandae kusikia habari hii

Kesho April Mosi mjiandae kusikia habari hii

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ni katika magazeti ya kesho

Heading: Hatimae Mkulu atengua uteuzi wa Bashite.

usisahau kesho ni siku ya wajinga duniani hivyo uwe makini na habari za kesho.


Pro-UKAWA kama hiyo habari itaandikwa,usihangaike kuileta hapa Jukwaani.
 
Mmhhhh......huwezi jua wanapeana hawa mabashite wawili.
Tusubiri lkn hapangiwi wa kuteua na kutengua
 
Hata hivyo, Inyeshe Mvua, Liwake Jua, Hawezi kumtengua, ndiyo Think Tank wake!

Halafu naomba kuuliza, Bashite ni Msukuma Kweli?

Hana chimbuko la Kinyarwanda?
 
Kesho lazima nikomeshe mabichwa kama matatu ya sisiem asubuhi na mapema!
Majinga sana haya..
Nasema lazima walie!
 
April fools day ni daily Tanzania , CCM imetupata kweli.
 
Wamesema hawataandika habari zake Bashite, nadhani hata kesho siku ya wajinga pia hawataandika.
 
Mods baada ya leo Fools day atakuwa na kazi ya kufafisha servers maana litakuwa limejaa uchafu kibao.
 
Back
Top Bottom