Unguja Bure Huku!!!Kulingana na kibali alichopewa na CAF kurusha matangazo bure, hatoweza kubadilika?
Maana tupo dunia ya kibepari
Vipi wameonesha Bure ?Muda wa mpira ukifika wataonyesha bure hata kama hujalipia kifurushi ila .mpira ukiisha tu wanakata
HawajaonyeshaVipi wameonesha Bure ?