Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Habari wakuu!
Huenda ulikuwa mgomo wa siku tatu.
Huenda siasa imeingilia suala hili
Huenda pumzi imekata.
Wachambuzi wa masuala ya migomo na maandamano wanaeleza kuwa mgomo huu wa wakariakoo mwisho unaweza kuwa Leo.
Kesho biashara zitafunguliwa.
Ñgoja tuone
Huenda ulikuwa mgomo wa siku tatu.
Huenda siasa imeingilia suala hili
Huenda pumzi imekata.
Wachambuzi wa masuala ya migomo na maandamano wanaeleza kuwa mgomo huu wa wakariakoo mwisho unaweza kuwa Leo.
Kesho biashara zitafunguliwa.
Ñgoja tuone