Kesho hakutakuwa na Mgomo

M TAG na erythrocyte maana yeye anaamini ni mgomo usi o na ukomo marejesho yameshaanza kufanya kazi yake
 
Hahahahaha...ndio maana wao wanapeta tu huku uswazi

Nchi hii kila mtu akilipa kodi kutawaka.

Achana na hizo pesa zinazokatwa indirect
Pesa inayouma ni ile inayotoa cash mfukoni

Fikiria mtu ukikopeshwa pesa wakati wa kurudisha unaumia licha ya kuwa sio yako.
Wengine huona bora waile tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…