Kesho itakuwa mara yangu ya kwanza kupanda daladala

Kesho itakuwa mara yangu ya kwanza kupanda daladala

Jiandae na hizi mbanga..

We mzee sogea nyuma daladala haijai.

Nauli hapo afisaa

Abiria tupendane shika bomba

Abiria shika naul yako change kamili

Kupitilizw kituo

Kushuka na kusahau sim na wallet

Kama unaona shida kwani hukuona tax, uber au bolt.
Kama we mnene utasikia we bonge hiyo siti wanakaa watatu.

Sahau kuondoka muda unaopanga, wahi kuamka wahi kutoka.

Ni hayo tu.

Tukutane kituoni kuminambili kamili......famasiara, unalipa na ya kugeuka na gari.. haha
 
Back
Top Bottom