Tetesi: Kesho Kenya Mungu anapinduwa meza ya mzaliwa wa kwanza kama alivyofanya kwa Esau akampa Yakobo

Binafsi sionagi shida kueleza kile nilichokiona! Sijui itakuwaje ila ile kitu inanipa mashakha japo najiuliza mbona mawakala walikuwa na hard copy? Na matokeo yalilingana ila lengo la muhurj ule kubadilika muhuri kulikuwa na malengo gani!
Zile ni forgery za team Raila. Ushahid wake mwingi ulikuwa wa kudukuliwa. Ila mambo ya mahakama magumu sana, unaweza Ina mshindi ndio huyu, lkn vifungu vya sheria vikampiga chini
 
Mgoma ni 50% for 75% Rejea kauli mkuu wa utumishi kauli yake kabla ya yakutangazwa huyu , kwamba pindi mshindi atangazawe ,basi KILA aina marekebisho anzia system yatabadilika ,swali je watakua wamelala pamoja na kesi kuwa mahakamani,?
Jana tunaona kijana anampa file bwana yule ,lilikua la nini?
Unakuaje elected anapewa file na Wala haogopi lishika? Tusubili mahakama
 
Nimekuelewa sana, viongozi hawa wakubwa wanaosikilizwa na watu wengi waache mzaha na Mungu, neno lao moja lenye kebehi kwa Mungu linaweza kuwagharimu maisha yao au nafasi zao.
 
Mungu ni mkuu Sana!!

Asante kwa uwepo wako Maishani mwetu!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!
 
Mchawi umeumbuka.
 
Nce
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…