Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna tetesi kwamba kesho mtu yeyote atakayeonekana amevaa Nguo au vipeperushi vya CHADEMA atakamatwa na kutakiwa kujieleza ni kwa nini amevaa nguo hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyesha risitiKwani nikiwajibu nimevaa kwa sababu nilinunua kwa pesa halali nitakua nimekosea?. Sitawajibu kwanza hilo ni swali la kiuchochezi.
Wewe ulikuwepo Dodoma wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM? Kila aliyeonekana mjini kavaa kipeperushi cha CHADEMA alikamatwa. Kesho ndivyo itakavyokuwa pia.Ni tetesi za kutunga
Bado ni hisia za kutunga tuWewe ulikuwepo Dodoma wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM? Kila aliyeonekana mjini kavaa kipeperushi cha CHADEMA alikamatwa. Kesho ndivyo itakavyokuwa pia.
Kwani kwa vigezo vya JF unajua maana ya "Tetesi"? maana yake linaweza kuwa ni jambo la kweli lakini haliwezi kuthibitishwa na mamlaka husika kutokana na sababu mbali mbali. Kesho watakaovaa vipeperushi vya CHADEMA ndiyo watajua maana ya tetesi hii.tetesi???
Kutunga kwa sababu wewe unataka ziwe za kutunga. kwani waliokatazwa kuandamana ni nani hapo kesho, na jee vipeperushi vya CHADEMA haviwatambulishi na kwa mfano watu wanne wakiwa wameongozana wamevaa hivyo vipeperushi wakikutana na Polisi unadhani kitatokea nini? Kama ilitokea Dodoma mpaka Nyumba za Wageni kupekuliwa itakuwa kesho?Bado ni hisia za kutunga tu
Basi tutavaa za CCM.Kuna tetesi kwamba kesho mtu yeyote atakayeonekana amevaa Nguo au vipeperushi vya CHADEMA atakamatwa na kutakiwa kujieleza ni kwa nini amevaa nguo hizo.
hili serikali ya JPM wanachofanya kuwaweka wananchi kwenye wasiwasi hadi kuwachagulia nguo za kuvaa amini msiamini litawafanya wananchi kuichukia serikali yao hata kama itawafanyia vizuri hakuna kitu kibaya kama kuminya demokrasia ya mtu,hana uwezo wa kukujibu wala kukutukana ila kidonda kilicho moyoni mwake majibu yake na athari zake ni kubwa sana,ipo siku madhara yataonekanaKuna tetesi kwamba kesho mtu yeyote atakayeonekana amevaa Nguo au vipeperushi vya CHADEMA atakamatwa na kutakiwa kujieleza ni kwa nini amevaa nguo hizo.
Hapo sasa umefunguka, hata leo ukibeba vipeperushi hutaachwa!Kwa hiyo siyo lazima kesho!Hapa kuna vuguvugu ambalo ni lazima lipoe kwanza ili maisha yaendelee, haina maana kumiminia petroli, moto unaweza kuwakaKutunga kwa sababu wewe unataka ziwe za kutunga. kwani waliokatazwa kuandamana ni nani hapo kesho, na jee vipeperushi vya CHADEMA haviwatambulishi na kwa mfano watu wanne wakiwa wameongozana wamevaa hivyo vipeperushi wakikutana na Polisi unadhani kitatokea nini? Kama ilitokea Dodoma mpaka Nyumba za Wageni kupekuliwa itakuwa kesho?
Kuvaa nguo za CHADEMA ni kosa?Hapo sasa umefunguka, hata leo ukibeba vipeperushi hutaachwa!Kwa hiyo siyo lazima kesho!Hapa kuna vuguvugu ambalo ni lazima lipoe kwanza ili maisha yaendelee, haina maana kumiminia petroli, moto unaweza kuwaka