chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,054
INABIDI MAGEREZA na mahabusu ZIONGEZWE PIA MZEE WA PAROLE AONGEZEWE MSHAHARA maana tunakoelekea ni zaidi ya SUDAN AU SYRIAKuvaa nguo za CHADEMA ni kosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
INABIDI MAGEREZA na mahabusu ZIONGEZWE PIA MZEE WA PAROLE AONGEZEWE MSHAHARA maana tunakoelekea ni zaidi ya SUDAN AU SYRIAKuvaa nguo za CHADEMA ni kosa?
Kuna wajinga fulani wanataka tuushangilie ujinga wao wakipingwa wananuna!!INABIDI MAGEREZA na mahabusu ZIONGEZWE PIA MZEE WA PAROLE AONGEZEWE MSHAHARA maana tunakoelekea ni zaidi ya SUDAN AU SYRIA
Kuna wajinga fulani wanataka tuushangilie ujinga wao wakipingwa wananuna!!
Kwani CHADEMA siyo watanzania?Naona mnaanza kutafuta huruma ya Watanzania.
Nendeni mkashike UKUTA kisha mlete mrejesho
Kwani CHADEMA siyo watanzania?
Hicho ndicho ccm wanakitaka , kusigina katiba na kusigina raia .Chadema hawakuwahi kuninunulia nguo xo mtu asinipande kichwani. Ntatoka nipendavyo mimi.
Kuna tetesi kwamba kesho mtu yeyote atakayeonekana amevaa Nguo au vipeperushi vya CHADEMA atakamatwa na kutakiwa kujieleza ni kwa nini amevaa nguo hizo.
Na kuna watu wanashangilia ujinga huu!!Kama ni kweli tunaomba watawala wa nchi hii watutangazie ili wenzetu hasa wototo wetu walio mbali na media kama hii wajue na watii wasije wakaishia Moi au Mortuary
Kwa kweli unasikitisha sana na kama ni kweli tumefikia hapo basi inawezekana Tanzania isiwe salama tena!!!!!!!!!Na kuna watu wanashangilia ujinga huu!!
Siku raia wakichafukwa amini nakwambia haya yote yatafika mwisho.Hicho ndicho ccm wanakitaka , kusigina katiba na kusigina raia .