Kesho magazeti ya kufungia vitumbua yote Yanga imekufa kiume!!

huyu kipara hajui hata sheria za mpira. kakurupuka na matongotongo wala hajui hata alichokiandika. sagrada esperanca ndo wamekufa kiume acha upoyoyo kipara.
 
huyu kipara hajui hata sheria za mpira. kakurupuka na matongotongo wala hajui hata alichokiandika. sagrada esperanca ndo wamekufa kiume acha upoyoyo kipara.
Haya nimekuelewa mwanasheria na mchambuzi wa soka gizani
 
inaonekana unakaa mkoani kama mimi



kweli umemeza sabuni acha mapovu yakutoke hata kusoma kwa umakini ni shidaaaaaa[/QUOTE]
Basi wote mimi na wewe hatusomi kwa umakini sababu ile jangwanu ipo huku kwetu mkoani au
 
kweli umemeza sabuni acha mapovu yakutoke hata kusoma kwa umakini ni shidaaaaaa
Basi wote mimi na wewe hatusomi kwa umakini sababu ile jangwanu ipo huku kwetu mkoani au[/QUOTE]

QUOTE yako tuu inaonesha ya moyoni mwako
 
Kama kawaida kesho magazeti ya kufungia maandazi,yatakoleza rangi za mashuka ya theatre,yanga imekufa kiume badala ya kujikita kwenye tathimini ya mchezo,kwani wandishi na wahariri wanalipwa bei gani kuipamba?kufungwa ni kufungwa tu.
TFF YANGA,marefa YANGA hadi magazeti nayo YANGA!! nyie wamatopen badala ya kufocus kumiprove timu lenu mnabaki kutapatapa...maana mwisho mtasema SIMBA SC nao yanga
 
Basi wote mimi na wewe hatusomi kwa umakini sababu ile jangwanu ipo huku kwetu mkoani au

QUOTE yako tuu inaonesha ya moyoni mwako[/QUOTE]
Duuh bishana mpaka ufe ushindi daima mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…