Kesho Magufuri atakuwa na ziara mkoani Pwani yakuzindua viwanda vikubwa 5 katiya 80 vinavyojengwa.

Kesho Magufuri atakuwa na ziara mkoani Pwani yakuzindua viwanda vikubwa 5 katiya 80 vinavyojengwa.

thailand-08-lt-beaders-romklao-058.jpg
images-28.jpeg
Ukiwa na vyerehani vinne tayari una kiwanda! Small industries in China and India. Ujifunze mkuu

04685a7b967030f859441a84b2d9abb3.jpg
 
Kesho Magufuri atakuwa na ziara mkoani Pwani yakuzinduani viwanda 5 vikubwa kati ya 80 ambavyo bado vinaendelea na ujenzi. Mkoa wa Pwani pekee toka ameingia raisi Magufuri unazaidi ya viwanda 200 ambavyo vingine vimeisha navingine vipo katika ujenzi.

Viwanda vinavyozinduliwa kesho. Nikiwanda cha Chuma, kiwanda chakukausha matunda kwaajili yasoko la nje, kiwanda cha vifungashio, kiwanda cha juisi na kiwanda chakutengeneza tractor. Serikali ya Viwanda ya Doctor John Pombe Magufuri

= Magufuli
= Magufuli
= Magufuli

Hakuna jina linalotajwa na kuandikwa sana Tanzania hii kwa sasa zaidi ya hilo.

Nnakushangaa sana unapoliandika tofauti.

Huo ni ujinga wa asili.
 
Kupashana ni muhimu na inakubalika ila hii habari haipaswi kua hapa, halituhusu sisi kama wakenya na chochote, that's the creator of the site made forum names to guide members on where and what to post.
Haliwahusu kwani mmelazimishwa kufungua mada hii!!
Kama ilivyo hukulazimishwa kujiunga J
Pia huwezi lazimishwa kufungua na kusoma habari yeyote Jf
 
Ndugu yangu unaijua kilomita vizuri.. yaani unasifia km 1???? Useme kiwanda kikubwa afrika mashariki na kati?? Kweli???
Pia kuna kiwanda cha Goodwill Ceramics/Tiles chakutengeneza vigae. Kinaurefu almost wa 1kilometer na bado kinapanuliwa.Largest ceramic/tiles factory in East and Central Africa. Kinatumia gesi kuzalisha umeme wake. Kimeshazinduliwa na rahisi Magufuri. Ingia YouTube. Andika uzinduzi wa kiwanda cha vigae Goodwill mkoani Pwani
 
Hiyo inaonyesha nikwa namnagani sinaga muda wakufatilia majina ya watu bila matendo. To me names are not my priority
= Magufuli
= Magufuli
= Magufuli

Hakuna jina linalotajwa na kuandikwa sana Tanzania hii kwa sasa zaidi ya hilo.

Nnakushangaa sana unapoliandika tofauti.

Huo ni ujinga wa asili.
= Magufuli
= Magufuli
= Magufuli

Hakuna jina linalotajwa na kuandikwa sana Tanzania hii kwa sasa zaidi ya hilo.

Nnakushangaa sana unapoliandika tofauti.

Huo ni ujinga wa asili.
 
Haliwahusu kwani mmelazimishwa kufungua mada hii!!
Kama ilivyo hukulazimishwa kujiunga J
Pia huwezi lazimishwa kufungua na kusoma habari yeyote Jf
7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all

That's why the group has that rule na hio ndo maana na comment hapa.
 
7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all

That's why the group has that rule na hio ndo maana na comment hapa.
Tupongeze basi.
 
Hongera ndugu zetu wa Tanzania
Waooh for the first time from Kenyan.

Asante ndugu yetu Kenyan ila kiukweli tuna viwanda vingi sana vipya na vinavyoendelea kujengwa kila corner ya nchi na tupo kwenye mipango ya kujengwa dam kubwa kama ya Ethiopia tuzalishe umeme.
 
Ipo kwa jukwa ya Kenya kawaida inferiority complex yasuambua. Always proving you can do it to your big brother otherwise karibu, uzuri tunakuelewa.
Kwa kweli tunaomba mtuvumilie tu sababu we have a long way to go with this kind of stuff leo tumeanza na vitano lakini Usisahau kuna zaidi ya viwanda 200 vinajengwa ndani ya mkoa mmoja tu.
 
Kwa miaka mitatu ijayo kujenga nyumba ya kisasa Tanzania itakua ni rahisi kuliko hata gharama za kuishi.

Sababu tuna mega industries zinazohusika na vifaa vya ujenzi kama

1. Kiwanda cha cement (more than 10)
2. Kiwanda cha ceramic tiles
3. Kiwanda cha chuma
4. Kiwanda cha gypsum
5. Kiwanda cha vigae (roofing materials)
6. Viwanda vya electronic accessories
7. Viwanda vya bati
And the list goes on
 
Kesho Magufuri atakuwa na ziara mkoani Pwani yakuzinduani viwanda 5 vikubwa kati ya 80 ambavyo bado vinaendelea na ujenzi. Mkoa wa Pwani pekee toka ameingia raisi Magufuri unazaidi ya viwanda 200 ambavyo vingine vimeisha navingine vipo katika ujenzi.

Viwanda vinavyozinduliwa kesho. Nikiwanda cha Chuma, kiwanda chakukausha matunda kwaajili yasoko la nje, kiwanda cha vifungashio, kiwanda cha juisi na kiwanda chakutengeneza tractor. Serikali ya Viwanda ya Doctor John Pombe Magufuri





!
!
Siku vikifa asisite kwenda kuvifunga
 
Back
Top Bottom