Kesho Mei Mosi ngonjera za kupandisha madaraja watumishi elfu 90 ndizo zitakazotawala, hamna jipya

Kesho Mei Mosi ngonjera za kupandisha madaraja watumishi elfu 90 ndizo zitakazotawala, hamna jipya

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari za asubuhi wananchi!

Kesho Mei Mosi, sikukuu ya wafanyakazi duniani na Tanzania pia.

Wafanyakazi wanasubiri kauli ya Rais ili wapate kujua hatma yao. Ngoja niwaambie jambo.

Kiki itatafutwa kwenye kipengele cha madaraja mapya kwa watumishi zaidi ya elfu 90.

Kama mtamshangilia sana basi atatengua kikokotoo kipya basi.

Kwakweli wafanyakazi mwafwaa.
 
Kama huna taarifa tuulize sisi HRs tukuambie kuwa PROMO zishaachiwa na UTUMISHI na deadline ni 12/06/2021
Kila Mwajiri awe amepeleta UTUMISHI majina ya promoted staff.
KAMA HUNA SIFA TULIA.
Tunachosubiri kusikia ni NYONGEZA tu na sio PROMO
Sasa ndugu mbona unabishana na kitu ambacho nimekisema Mimi?

Hizo promo za madaraja na muundo mpya wa utumishi kwa baadhi ya watumishi ndivyo vitakavyozungumziwa kesho.

Hiyo nyongeza ya mshahara kesho hutaisikia.
 
Kama huna taarifa tuulize sisi HRs tukuambie kuwa PROMO zishaachiwa na UTUMISHI na deadline ni 12/06/2021
Kila Mwajiri awe amepeleta UTUMISHI majina ya promoted staff.
KAMA HUNA SIFA TULIA.
Tunachosubiri kusikia ni NYONGEZA tu na sio PROMO
Mkuu hata mtoa mada hoja yake ni hi,kwamba hizo promotion ambazo watu walitakiwa wapate toka 2015 ndio itakuwa kigezo na agenda huku agenda muhimu ya nyongeza ya mishahara kwa wote labda kesho ikapewa kisogo.
 
Kama huna taarifa tuulize sisi HRs tukuambie kuwa PROMO zishaachiwa na UTUMISHI na deadline ni 12/06/2021
Kila Mwajiri awe amepeleta UTUMISHI majina ya promoted staff.
KAMA HUNA SIFA TULIA.
Tunachosubiri kusikia ni NYONGEZA tu na sio PROMO
Eti HRs watu kila mwaka wanaambiwa wapeleke majina na ngoma bila bila, tetetetete
 
Back
Top Bottom