Kesho naenda Ikulu naisubiri kwa hamu

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Daaah, been waiting for this day ever. Kesho kwa mara ya kwanza, mjengoni ikulu tena ana kwa ana na mh. Mr president nikitunukiwa kamisheni, kweli kila jambo na wakati wake. I wish ningewaalika wanaJF wote kesho ikulu kwaajili ya special meal na presidaa ila only limited namba of pipo is allowed. [HASHTAG]#NoEasyTaskInTheBattleField[/HASHTAG].
 
hongera sana i wish nikusindikize mpaka nje ya geti
 
mfikishie ujumbe mwembie huku mtaani vyuuuuma..!!so alegeze kamba kimtindo kama hataki achana nae usimbembeleze saaaana!!
 
Usisahau kumwambia Rais kuwa Tmuller anamsalimia
 
Mwambie kwa vile bunge limeshindwa kumshauri vyanzo vya mapato na kukazania hela zetu za nssf, basi bajeti apange yeye mwanzo mwisho itakuwa afadhali. Wao watunge senti tano na pedi za watoto wetu.
 
Mwambie wananchi tumemchika arudi kwa chato!!
 
We mjinga, ni nani aliyekwambia kutangaza hayo mambo hapa. Unakijua unachokwenda kukipata na maana yake?

Kwa jinsi ulivyokamia na ulichokiandika na Lugha uliyotumia hauendi kupata cha kuwatumikia watanzania badala yake unakwenda kupata sifa za kijinga na huenda ukatumia cheo chako kutenda yasiyoruhusiwa.

Subiri tu upate hiyo special meal na presidaa halafu baada ya miezi miwili rudi hapa kutusimulia huo uchuro.

Kwa kazi inayokupeleka ikulu na kile unachotutambia utakuja nitxt pm ukiri kama kweli itakuacha salama. Tunapopigwa DRC nadhani tunakuwa na makamanda wa matangazo kama wewe.

Achana na sifa za kijinga, we maliza uanze huduma!
 
Sijui nani atatupostia tena misosi apa ukianza kaz
 
Hahahaha
 
mfikishie ujumbe mwembie huku mtaani vyuuuuma..!!so alegeze kamba kimtindo kama hataki achana nae usimbembeleze saaaana!!
Naanzaje chief mi nasubiri dongo langu
 
Mwambie kwa vile bunge limeshindwa kumshauri vyanzo vya mapato na kukazania hela zetu za nssf, basi bajeti apange yeye mwanzo mwisho itakuwa afadhali. Wao watunge senti tano na pedi za watoto wetu.
Mkuu hii ni siasa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…