Kesho naondoka, siwezi endelea kukaa hapa. Siwezi acha anielewe vibaya ila nimeshindwa mimi...

Hivi kwel tz tunajisifu tuna vijana kama nchi nyingne?iv kwel umekuja kwangu nakusitir ila hapo hapo unaanza kuning'ong'a..huu si utaratibu...kama kilichokupeleka ushakimaliza rudi kwenu
 
Anaangalia Bondita au Sinema zetu??
 
Hiki cheo cha JF-Expert Member kinafanya mtu ajione mwaaaamba, Sasa siku ataanzisha Uzi Wa Kiboya mpaka nyote mliokuwa kwenye cheo hicho mnajiona Maboya...!
We umefika kwa Mtu unataka Umpangie TV Awashe saa Ngapi? Dinner atenge Saa ngapi?
Kweli..?
Ila kula chakula saa nne usiku ni very unhealthy mkuu, halafu unaweza kukuta wali maharage au ugali, very heavy food na ikifika saa tano au saa nne na nusu mnaenda kulala huku tumbo limejaa full.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…