Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Watu wengi wamemponda mshambuliaji wa Simba Dejan wakidai sio lolote, hawajui hata Pape Sakho walisema hivyo hivyo kuwa hana uwezo wa kucheza Simba, walisema Peter Banda hana uwezo, walisema Kanoute sio mchezaji.
waliwahi kumponda Luis Miqcuisone, walipochanganya habari zao zikavuma sana, sasa huyu Dejan ambaye mm kwangu namuona striker haswa subirini kesho ndio mtajua kuwa ni striker wa aina gani, namshauri kocha aendelee kumpanga ili azoee mazingira ya soka letu.
Dejan atabadilisha upepo wa watu gemu ya kesho, mchezaji mpira anajulikana tu, wanaosema kaja na Royal tour cjui nn watanyamaza tu.
Viongozi wangu wa Simba tusikatishwe tamaa na wajinga wajinga, yaliyofanyika kwenye gemu na yanga tunayajua, sio ya kimpira wala nn, hao yanga kama wanajua mpira tupo humj jf,.
tutawaona tu
waliwahi kumponda Luis Miqcuisone, walipochanganya habari zao zikavuma sana, sasa huyu Dejan ambaye mm kwangu namuona striker haswa subirini kesho ndio mtajua kuwa ni striker wa aina gani, namshauri kocha aendelee kumpanga ili azoee mazingira ya soka letu.
Dejan atabadilisha upepo wa watu gemu ya kesho, mchezaji mpira anajulikana tu, wanaosema kaja na Royal tour cjui nn watanyamaza tu.
Viongozi wangu wa Simba tusikatishwe tamaa na wajinga wajinga, yaliyofanyika kwenye gemu na yanga tunayajua, sio ya kimpira wala nn, hao yanga kama wanajua mpira tupo humj jf,.
tutawaona tu