Kesho ndio tunaenda kuufahamu unafiki wa baadhi ya watanzania

Kesho ndio tunaenda kuufahamu unafiki wa baadhi ya watanzania

Matusi ya nini sasa!
Usichopenda wewe, kinapendwa na wengine.
Live and let live son!
Litimu mmeligeuza la chama naombea lifungwe pumbavu zake!

Na litapigwa nyingi sana!

Uzalendo mavi yenu,uzalendo gani mmegeuza kitu cha nchi ni kitu binafsi cha CCM!!!

Mjifunze!
 
Mimi siyo mnafiki.....kwa kiwango tulichoonyesha jana Taifa Stars bado sana....Burundi kafungwa ila shughuli yao tuliiona siyo ya kitoto hata Kenya pia unaona kabisa wanajaribu..Ila sisi Tanzania hapana....Ningekua na uwezo ningefuta hata huu Uzi...Hakuna Timu pale.Bora nivae hata jezi ya BafanaBafana
 
Tayari kaka.....vijana hopeless kabisa yani u can see them through their eyes....Hata nyimbo ya Taifa kuimba yalikua hayajui hapo ndipo nilipoanza kutilia mashaka Manula anaimba Mungu bariki Africa huku Mwantika sijui Fei Toto anaimba Mungu bariki Tanzania the sametime...Very stupid
 
Tayari kaka.....vijana hopeless kabisa yani u can see them through their eyes....Hata nyimbo ya Taifa kuimba yalikua hayajui hapo ndipo nilipoanza kutilia mashaka Manula anaimba Mungu bariki Africa huku Mwantika sijui Fei Toto anaimba Mungu bariki Tanzania the sametime...Very stupid
Hakika timu ya taifa ya awamu ya 5 wanapaswa kutuomba msamaha mkubwa sana
 
Kuzaa watoto wabaya haikupi haki ya kuwa baba wa watoto wa jirani eti sababu wazuri, komaa na chako tafuta tatzo na usolve sio kukimbia.
Mimi siyo mnafiki.....kwa kiwango tulichoonyesha jana Taifa Stars bado sana....Burundi kafungwa ila shughuli yao tuliiona siyo ya kitoto hata Kenya pia unaona kabisa wanajaribu..Ila sisi Tanzania hapana....Ningekua na uwezo ningefuta hata huu Uzi...Hakuna Timu pale.Bora nivae hata jezi ya BafanaBafana
 
Back
Top Bottom