Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Huyu kibwana anayepigwa chenga Hadi anaangukaNinachokiona Mimi, jamaa AMEISHA sana.
Atacheza kwa kukamia Ili ajiuze,
Nilitamani sana akutame na kibwana au Baka soko lake na Demand yake kwa Simba ishuke.
Uongozi unahaha Jana na leo kumalizana NAYE.
usimba na uyanga ndio kila kitu kwa mtanzaniaKwahiyo unataka a perform highly ili Stars ifungwe siyo? Kwanini usiombee a underperform ili Stars isonge hatua inayofuata?
Hili wazo nimelifikiria Sana Ila naogopa kuambiwa sijui Wachezaji wazuri.Adebayor, Manzoki wote wakuachana nao
Niger ama Nigeria?umetaja nchi mbili tofauti mkuu.Kesho Stars anacheza na Niger pale Lupaso, macho na masikio yetu yako kwa kiungo mshambuliaji wa Nigeria victor Adebayor, wengi tunataka kumuona kama bado ana uwezo kweli ama imebakia history tu.
Kijitu kifupi kama tairi ya bajajiHuyu kibwana anayepigwa chenga Hadi anaanguka
Hata huyo Luis naye sina uhakika na kiwango chake isijekuwa limebaki jina tuHili wazo nimelifikiria Sana Ila naogopa kuambiwa sijui Wachezaji wazuri.
Ila nashangaa haujaniambia sina akili 🤣😂🤣Hili wazo nimelifikiria Sana Ila naogopa kuambiwa sijui Wachezaji wazuri.
Maombi yake hayana uhusiano wala impact yyte kwny uwezo wa jamaa?!Kwahiyo unataka a perform highly ili Stars ifungwe siyo? Kwanini usiombee a underperform ili Stars isonge hatua inayofuata?
Adebayor bado ana mkataba mrefu na Berkane.Adebayor, Manzoki wote wakuachana nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kibwana anayepigwa chenga Hadi anaanguka
Unaogopa nn shabiki wa uto wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili wazo nimelifikiria Sana Ila naogopa kuambiwa sijui Wachezaji wazuri.
Luis Kwa viwango vyetu akujifua atatufaa Kwa Muda wakati suluhisho la kudumu linatafutwa. Tatizo ni kiwango cha mshahara alichoset akiwa Ahly.Hata huyo Luis naye sina uhakika na kiwango chake isijekuwa limebaki jina tu