Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kesho Stars anacheza na Niger pale Lupaso, macho na masikio yetu yako kwa kiungo mshambuliaji wa Nigeria victor Adebayor, wengi tunataka kumuona kama bado ana uwezo kweli ama imebakia history tu.