Mkuu si uandike tu Kiswahili,sasa hapo pia kuna suprise gani wakati umetuambia atakuwepo Mwakie?au maana ya surprise nayo huijui-kulouch ndio nini si undike tu kuzindua basiKesho kuanzia saa 12 asubuhi wasafi media chini ya CEO wao diamond platnumz wanatarajiwa kufanya tukio kubwa la kulouch kipindi kipya Cha michezo pamoja na mambo mengine Kama suprise kwa mashabiki wao na mgeni rasmi atakuwa waziri wa sanaa na michezo Harrison mwakiembe.ukiachana kuuzulia kwa mwakiembe lakini pia kitakuwa na macelebrities mbalimbali pamoja na wadau wa media,sanaa na michezo.Tukio Zima litarushwa live wasafi fm na wasafi tv pamoja na YouTube.
Tunaangaika au wewe ndo unaangaika?Mnahangaika Sana ila bongo kipindi cha michezo bora ni sports extra na itabaki hivyo
Baeleze baeleze baeleze baba waskieMnahangaika Sana ila bongo kipindi cha michezo bora ni sports extra na itabaki hivyo
Mnahangaika Sana ila bongo kipindi cha michezo bora ni sports extra na itabaki hivyo
. usikalili ndugu kabla ya mes alikuwepo pereMnahangaika Sana ila bongo kipindi cha michezo bora ni sports extra na itabaki hivyo
Hahaha ndo BASATAkijana unatafuta kupotea..
MWAKIEMBE ndiyo nini???