Faiza foxyHuyu sijui tumfananishe na nani hapa j.f
Mpesa si wana-limit amount?Hii siku haijakamilika bila kuni mpesa aise[emoji27]
Us'konde mamaa!2kimo Mniletee zawadi ya kueleweka basi.
Ayii ukiskia kudanganywa ndo huku sasa. Tuma kabla sijakususia hela zakoMpesa si wana-limit amount?
Mzigo naotaka kukudondoshea ni mkubwa! bado inabidi tuonane tu nikukabidhi mkononi!
Au tuma a/c number ss hivi!
Give me your cellphone No!Ayii ukiskia kudanganywa ndo huku sasa. Tuma kabla sijakususia hela zako
Nimekupm. Haya tuma fasta ukichelewa baki na hela zakoGive me your cellphone No!
Naona kuna dalili zote za kuachwa siku ya wapendanao!
Mbon shafoo. Ndo unipe mazawadi sasa siku yangu leo[emoji6]Hee!!valentina mbony mae hivi una habari leo ndo siku yako
Kwa kuwa jina lako halina jina
Thanks alot! KissesYess baby i will be your valentine today and forever
Am here babe nambieeMoney Penny where are you???