financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Bado uko hapo ? Au ulishajiondokeaNipo hapa Millenium Towel (Makumbusho), ukifika niambie nije kukupokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado uko hapo ? Au ulishajiondokeaNipo hapa Millenium Towel (Makumbusho), ukifika niambie nije kukupokea
Sasa wewe Ms. financial services naona unanichezea tu akili. Umenigandisha hapa toka majuzi nikijuwa unakuja kumbe mwenzangu ndiyo kwanza umelala nyumbani fofofo. Sawa tu, Mungu anakuona😡Bado uko hapo ? Au ulishajiondokea
Mkuu mi mwenyewe nilikua nakusubiri hapo pia, nikaona haujibu ikabidi nijiondokee , nimekosa lunch hivi hivi😂Sasa wewe Ms. financial services naona unanichezea tu akili. Umenigandisha hapa toka majuzi nikijuwa unakuja kumbe mwenzangu ndiyo kwanza umelala nyumbani fofofo. Sawa tu, Mungu anakuona😡
Basi kama utakuwa serious siku nyingine utanijulisha mapema nijiandae ila usije na washikaji zako, just you as Ms. financial servicesMkuu mi mwenyewe nilikua nakusubiri hapo pia, nikaona haujibu ikabidi nijiondokee , nimekosa lunch hivi hivi😂
😂😂 mbona masharti mkuu, nije mwenyewe tu? Nisivyo na stories bora nije na washkaji wakuchangamshe😂Basi kama utakuwa serious siku nyingine utanijulisha mapema nijiandae ila usije na washikaji zako, just you as Ms. financial services
Ahaaaaaa, nitawakimbia. You made my day na hao washikaji wako wachangamshao watu😂😂 mbona masharti mkuu, nije mwenyewe tu? Nisivyo na stories bora nije na washkaji wakuchangamshe😂
Escort inapatikana wapi mwambaIngia escort, ni hela yako tu
ukipata wengi nirushie mmojaMwanamke mstaarabu,asiwe changu awe tayari kuwa nami kwa siju 5 kwa gharama zangu