The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Kwanini unasema kafara em fafanua nasi tupate mwangaza.huli nyama kwa kuogopa makafara na matambiko ya waturuki hapa bongo au huli kwa sababu gani?
Chimbo jipya nitaa ya Sinza?Kesho mm nakula kitimoto tuu
Kuna chimbo wanauza hua naenda kuchukua ikiwa raw then nakuja kuitengeneza mwnywChimbo jipya nitaa ya Sinza?
basi utajiepusha na kula nyama za mabalaa zinazochinjwa kwa makafara. Ndio maana kumekuwa na watu wenye kufanya maamuzi ya ajabu kuigharimu nchi. Tuombe Mungu nchi isipate mabalaa yatakayosababishwa na makafara haya ya kuchinja mifugo kwa kisingizio cha ibada ya kuchinja
Duh mambo ya kuosha vyombo tenaKuna chimbo wanauza hua naenda kuchukua ikiwa raw then nakuja kuitengeneza mwnyw
Mchumba c yupo wa kuweka mambo sawa ndani ndo hua nafanya hvy, hy ya kutoka labla iwe ya washikajiDuh mambo ya kuosha vyombo tena
Mtu ale nyama asile. Sioni sababu ya kututangazia. Kwa sababu hata akila hela ya kununulia hatumchangii mtandaoni.mbona pasaka hua tunawakaribisha na wanakuja kula nyama,au ni vile mimi sijui vizuri maana ya pasaka!?
ni kweli,,ila udini haufaiMtu ale nyama asile. Sioni sababu ya kututangazia. Kwa sababu hata akila hela ya kununulia hatumchangii mtandaoni.