passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Wakuu Heshima mbele!
Nilisoma yale ambayo Generation Z waliyasema na yote wameyatekeleza kwa asilimia 100%.
Kesho 27/06 Waandamanaji wamesema watafunga njia kuu ya kuelekea nairobi na kuiteka ikulu kushuhudia ruto akisaini ili kuwafanya kuwa watumwa katika nchi yao.
Na uzingatie vijana hawa yote waliyoyasema wameyafanya yote.
Nilisoma yale ambayo Generation Z waliyasema na yote wameyatekeleza kwa asilimia 100%.
Kesho 27/06 Waandamanaji wamesema watafunga njia kuu ya kuelekea nairobi na kuiteka ikulu kushuhudia ruto akisaini ili kuwafanya kuwa watumwa katika nchi yao.
Na uzingatie vijana hawa yote waliyoyasema wameyafanya yote.