Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mmmh ha ha ha š¤£Lolote Lawezekana Ili Yanga Iwe Bingwa Asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh ha ha ha š¤£Lolote Lawezekana Ili Yanga Iwe Bingwa Asubuhi
NbcNahisi atakua ni azam
Wa ligi gani na akishinda impact yake kama muwakilishi wa nchi itakuwaje?Lolote Lawezekana Ili Yanga Iwe Bingwa Asubuhi
Timu ya wananchi haitegemei mberekoLolote Lawezekana Ili Yanga Iwe Bingwa Asubuhi
Haa HaaTimu ya wananchi haitegemei mbereko
Okay..Watie mzigo..NBC nimesikia za chini chini
Azam hawezi kuwa mdhamini ,sheria hairuhusu mdhamini awe na timu ligi kuu, haiwezekani uwe na timu ligi kuu haalafu ukawa mdhamini wa ligiKama ni yeye sijui ndio itaitwa Azam premier league(APL)
Vyovyote iwavyo sisi WANANCHI hatutavaa nembo yenye rangi nyekundu.
Suala la viwanja ni suala la timu husika siyo bodi ya ligiOkay..Watie mzigo..
Na Tff na bodi ya ligi waanze mipango ya kuwa na viwanja bora..hatuwezi kuwa na ligi inayokua kwa kasi inayochezwa kwenye mapagale ya mpunga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si ndo wanaopitisha hivyo viwanja kutumika..yaani wavikazie hivi vilabu,ili atleast viwanja viboreshwe aisee.Suala la viwanja ni suala la timu husika siyo bodi ya ligi
Uyo twiga lazima awe wa kijani au njano, jezi yetu haiwezi chafuliwa na mirangi ya makolo
Vilabu havimiliki viwanja sasa hata wakivikazia vitafanyaje ?Lakini si ndo wanaopitisha hivyo viwanja kutumika..yaani wavikazie hivi vilabu,ili atleast viwanja viboreshwe aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app