This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Nani asiyekujua ww Ni zuzu/ utopolo?Kama mwanachama wa Simba tawi la mpira pesa nitaungana na Yanga kuleta heshima nchi hii.
Wanalunyasi wenzangu tuungane pamoja katika hili. Tuweke historia kubwa kuleta kombe hili nchini mwetu
Simba
Nguvu moja
Sijawahi kuona wakitukana zaidi ya utaniHalafu baada ya DK 90 wakishinda waendelee kukutukana!
Tangu lini shetani akaombewa mema?
Sasa kama fainali yenyewe hujui inapigwa lini unawezaje kutushawishi tuishangilie Yanga?Kama mwanachama wa Simba tawi la mpira pesa nitaungana na Yanga kuleta heshima nchi hii.
Wanalunyasi wenzangu tuungane pamoja katika hili. Tuweke historia kubwa kuleta kombe hili nchini mwetu
Simba
Nguvu moja
We jamaa wa NYUMA MWIKOKama mwanachama wa Simba tawi la mpira pesa nitaungana na Yanga kuleta heshima nchi hii.
Wanalunyasi wenzangu tuungane pamoja katika hili. Tuweke historia kubwa kuleta kombe hili nchini mwetu
Simba
Nguvu moja
Nlikosea kidogo mkuu ingawa ujumbe ndio muhimu zaidi twendeni kama taifaSasa kama fainali yenyewe hujui inapigwa lini unawezaje kutushawishi tuishangilie Yanga?
Binafsi nawatakia heri washinde ila hawa sindio walikuwa wanapokea wageni airport na kuwashangilia na kununua jezi zao wamekiri lini dhambi ile?Kama mwanachama wa Simba tawi la mpira pesa nitaungana na Yanga kuleta heshima nchi hii.
Wanalunyasi wenzangu tuungane pamoja katika hili. Tuweke historia kubwa kuleta kombe hili nchini mwetu
Simba
Nguvu moja
Yanga ni timu ya kwetu Tanzania [emoji1241] hivyo tufanye hima kupenda vyetu vifanikiwe ili kuleta sifa nchiniTuache unafiki.
Mimi ni Shabiki wa Simba SC.
Mafanikio ya Young African hayawahusu Simba SC na Mafanikio ya Simba SC hayawahusu Young African.
Timu pekee inayo wakilisha Taifa ni timu ya Taifa tu.
Simba Sc na Young African wana jiwakilisha wenyewe tu. ( Hakuna uzalendo hapo).
Simba SC hatuna jipya labda msimu ujao, ila Young African wa jipya na wanaendelea kutafuta mapya zaidi kwa maslahi yao nasiyo kwa maslahi ya watanzania wote.....
ila ukweli ni kwamba YOUNG AFRICAN haiwakilishi Taifa wala mkoa , inajiwakilisha yenyewe.
Ya kwenu na nani...?Yanga ni timu ya kwetu Tanzania [emoji1241] hivyo tufanye hima kupenda vyetu vifanikiwe ili kuleta sifa nchini