Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kwa timu hii ambayo tunafunga goli moja moja za ndondokela ambayo forward wake ni mpuuzi aliesajiliwa kwa mihemko aitwaye dube na mwenzie chama?Timu kubwa Ina tambuliwa kwa Mataji inayo beba na si propaganda.
Yanga ni Timu kubwa kwa Tanzania kwakua Ina Makombe 30 ya Ligi kuu na Msimu huu wa CAF Champion league inakwenda kuandikisha kombe la kwanza Africa na Makombe mengine ya Africa yatakuja.