theHAVARD_product
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 289
- 192
Niliwahi kusikia hii kesi, But sijawahi kusikia kama huyu Binti wa Liyumba alifungwa au hata Liyumba.
JE, ilizimwa , inaendelea, iliishaje, Mahakama ipi ilihusika, watuhumiwa Wengine ?? nk.
MADAWA yalikuwa na Thamani Billions 3++.
Tuambiane.
JE, ilizimwa , inaendelea, iliishaje, Mahakama ipi ilihusika, watuhumiwa Wengine ?? nk.
MADAWA yalikuwa na Thamani Billions 3++.
Tuambiane.