Kesi kuhusu kujiuzulu Spika: Mbatia atabezwa, lakini ana hoja

Rais kushinikiza spika kujiuzulu yenyewe tu inavunja katiba, kwani inaondoa dhana nzima ya kujitegemea kwa mihimili kiutendaji ili kuleta checks and balance.............the only way forward ni rais kuvunja bunge nchi irudi kwenye uchaguzi.
Kweli tupu
 
kupoteza sifa kutokana na haya madaraka ya kisiasa
1. kujiudhulu
2. kifo
3. magonjwa ya afya ya akili
4. kutenguliwa wazifa wako na mahakama
5. kuondolewa uanachama kama wale wanaitwa uviko19
6. kuondolewa udhamini na chama chako
7. kuwa muajiriwa ktk utumishi wa umma
8. kushitakiwa kwa makosa au kosa la jinai
9. kifungo cha maisha au hukumu ya kifo
10. kukosekana ktk kipindi fulani etc
etc

kuna sababu kibao zinawezav muondolea wazifa wake mtu kama yeye au anaye fanna na yeye....

NB:
katiba pia imetoa mwanya ktk sheria zingine... kwa maana na sheria zingine zitatumika ikitokea jambo husika na ndio maana kuna sheria mbalimbali miongozo, kanuni nk kwa maana katiba sio kila kitu
 
Basi tuachane na katiba na sheria tuendeshe nchi kwa mapenzi ya kila mtu na logic.
 
Kila kitu kinawezekana nchi hii
 
Ndugai hawezi kulazimishwa kuwa Spika na mchakato wa CCM wa kumpata mgombea uspika siyo suala la kikatiba au sheria za nchi. Kitendo cha Ndugai kuondoka kienyeji bila kufuata katiba na sheria za nchi kunaweza kutafsiriwa kama ame-abscond na hivyo kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwa na pamoja na kufukuzwa kazi na kukosa stahiki zake zote za uspika!
 
Viongozi wetu wameapa kuilinda katiba ya nchi na si vinginevyo, akikiuka Katiba anakuwa mhaini na anaweza kushtakiwa na kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria.
 
Suala hapa halimhusu Ndugai. Hapa tunazungumzia utamaduni wa kufuata sheria kuu- Katiba.

Hata ungukuwanwewe ndio umekiuka tungeenda mahakamani.
Hakuna katiba iliyokiukwa,nikikuuliza wewe hebu nipe kifungu cha katibu kilichokiukwa hukijui

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huwa namuelewa sana Mbatia na najua anajua anachokitetea ni haki na wanaopingananae wanajua yupo sahihi kikatiba kwakuwa imekiukwa lakini ccm wapo tayari wauwe mtu wakishaamua jambo lao, siku zote wao wapo sahihi iwe utataka meza ya maridhiano au ulingo wa mapigano kote mtaenda sawa ila mwisho wa mchuano ushindi ni wao halina kupingwa.
 
Katiba inasemaje kuhusu yeye kugombea akiwa ndiye naibu spika ambaye kwa sasa ndiye Spika wa mpito??
amechukua fomu ya kugombea u-spika?
hiyo hoja itakua na nguvu kama akichukua fomu ya kugombea, kwa sasa yeye bado amekaimu nafasi ya spika......
 
Ndo wasomi wa Tanzania mlivyowajinga.awe/asiwe spika tulia,lkn katiba ifuatwe.ndo logic ya ya mtoa mada
 
Wake wanaombeza Mbatia Ni watu wasioelewa katiba vizuri,na ndio haohao wanasema katiba inafaa ileile,ndio maana mataifa mengine yatushangaa kwa kushindwa kudai haki yetu kwa vitu ambavyo vinatuumiza,mf hizi tozo za miamala zinapigwa mchana kweupe na hazionyeshi exp date,watu wanajiuzulu tu bila kufuata utaratibu.
 
Interest anayo ndio maana aliomba msamaha Ila vishoka wakaibuka kumshambulià.
 
Hivi endapo job kesi akashinda na hapo hapo ikawa kushapatikana supika mwingine ambae ameshaapishwa inakuwaje hapo
 
Issue sio Ndugai, hapo wadau wa Katiba wanataka kunyoosha watu tu [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…