Kesi kuhusu kujiuzulu Spika: Mbatia atabezwa, lakini ana hoja

Unajua maana ya precedent,?sio president,!!!precedent tamka presedenti
 
Unajua maana ya precedent,?sio president,!!!precedent tamka presedenti
Sasa mbona unauliza swali na kujijibu mwenyewe mkuu, kwema? au ulitoroka kazini kwenda kupiga vitu akili ikakutuma uingie JF umzingue mtu yeyote tu.
 
Mkuu Learned Brother Petro mselewa, naunga mkono hoja kwa asilimia 100%, kilichofanyika ni kuhalalisha haramu na ubatili !.
P
 
Haramu ngapi zinafanywa na watawala tumekaa kimya? ndiyo maana jamaa hawataki watoto wa maskini wasom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…