Kesi maarufu zilizowahi kutokea ndani ya Tanzania

Kesi maarufu zilizowahi kutokea ndani ya Tanzania

nimerudi nlipigwa ban! haya ngoja tuijadili kesi ya JUMA NSWA&MATTABA V/S REPUBLIC(1995),hawa walikuwa maofisa wa jeshi la polisi walitumwa kutoka dar kwenda moshi kutafuta/kufuatilia gari aina ya NISSAN PATROL mali ya mfanyabiashara anayeitwa MR.LADWA lililokuwa limeibiwa na majambazi jijini dar na kukimbia nalo mkoani kilimanjaro sasa basi jeshi la polisi mkoani dar likawatuma maofisa wa polisi wawili ambao ni MR.JUMA NSWA na MATTABA ili kwenda mkoani KILIMANJARO kuungana na polisi wengine watatu kutoka mkoani KILIMANJARO sasa wakati wanafuatilia lile gari lililoibiwa na majambazi kuna gari jingine ambalo alikuwa anaendesha LIEUTENANT GENERAL,IMRAN HUSSEIN KOMBE na ROSSELEEN KOMBE(mkewe) sasa lile gari la KAMANDA KOMBE lilikuwa linafanana sana na lile liloibiwa na majambazi dar hivyo maofisa wa polisi wakalipiga risasi wakidhan ndio la majambazi hivyo kamanda kombe akatoka nje na kujisalimisha lakin akapigwa risasi
ahsante mkuu
 
Kesi ya Dorice Liundi v. R, ambapo mamake mama huyu aliwaua watoto wake kwa sumu baada ya kukorofishana na mumewe, alibaki mtoto mkubwa tu, ambaye ni Taji Liundi.
 
Kesi ya R. v. Dorice Liundi, ambapo mamake mama huyu aliwaua watoto wake kwa sumu baada ya kukorofishana na mumewe, alibaki mtoto mkubwa tu, ambaye ni Taji Liundi.
 
Kesi ya KABULUNGU JUMA V/S REPUBLIC huyu alikuwa mganga wa kienyeji sasa kulikuwa na mwanamke ambae alikuwa hanauwezo wa kuzaa(mgumba) hivyo basi akaenda kwa mganga ili amsaidie apate mtoto (azae) hivyo huyo mganga wa kienyeji(KABULUNGU) akamwambia yule mwanamke kwamba ili awe na uwezo wa kuzaa itabidi afanye nae ngono ili apate mtoto kwa sababu alikuwa na uhitaji mkubwa sana wa mtoto sasa wakafanya mapenzi mwanamke baada ya kuona hamna mimba akaenda akaripoti kwamba amebakwa na mganga wa kienyeji KABULUNGU JUMA akashitakiwa kwa kosa la ubakaji
Hukumu ilikuwaje

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
nimerudi nlipigwa ban! haya ngoja tuijadili kesi ya JUMA NSWA&MATTABA V/S REPUBLIC(1995),hawa walikuwa maofisa wa jeshi la polisi walitumwa kutoka dar kwenda moshi kutafuta/kufuatilia gari aina ya NISSAN PATROL mali ya mfanyabiashara anayeitwa MR.LADWA lililokuwa limeibiwa na majambazi jijini dar na kukimbia nalo mkoani kilimanjaro sasa basi jeshi la polisi mkoani dar likawatuma maofisa wa polisi wawili ambao ni MR.JUMA NSWA na MATTABA ili kwenda mkoani KILIMANJARO kuungana na polisi wengine watatu kutoka mkoani KILIMANJARO sasa wakati wanafuatilia lile gari lililoibiwa na majambazi kuna gari jingine ambalo alikuwa anaendesha LIEUTENANT GENERAL,IMRAN HUSSEIN KOMBE na ROSSELEEN KOMBE(mkewe) sasa lile gari la KAMANDA KOMBE lilikuwa linafanana sana na lile liloibiwa na majambazi dar hivyo maofisa wa polisi wakalipiga risasi wakidhan ndio la majambazi hivyo kamanda kombe akatoka nje na kujisalimisha lakin akapigwa risasi
Huu ulikuwa uigizaji tu, huyo jamaa walimkalisha kutokana na kutuhumiwa alikuwa anatoa siri kwa mzee wa "kiraracha"
 
Back
Top Bottom