wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Alisemaje kwaniHapa ndo tutamkumbuka zaidi Tundu Antipas Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisemaje kwaniHapa ndo tutamkumbuka zaidi Tundu Antipas Lissu
Mfano wewe ni bosi wangu na kuna ufisadi unaufanya nataka niwe whistle Blower nifanyaje ili usinitambue kama ni mieNot really ! It shows how people are coward, selfish, unconfident and insecure of themselves!
right minded people don’t care how people define them and treat them!
our county is full of hypocrites, untrusted, coward , selfish individuals no matter their status and position. The country is full of weird people!
verify basi uhesabike bila kificho maana unachukia kujificha ficha it seems.That is my name from childhood!
Kesi imeisha mkuu ila implication yake ndio mbaya kwetu JF.Ni habari njema Kwetu Wadau kama Kesi hii imeisha salama na Faini imeshalipwa kwani ilikuwa inatuweka roho juu juu na angalau sasa wengine tunaweza hata Kuagiza ' Kichuri ' na Kukilia kwa Ugali wa Udaga na Ulezi kwa amani kabisa huku tukiamini kwamba Mtandao Wetu huu ambao kwa Sisi wengine akina GENTAMYCINE ndiyo Kilevi chetu Kikubwa na Starehe yetu iliyotukuka.
Poleni sana Uongozi mzima wa Jamii Media Company kwa Changamoto zote za hii Kesi na poleni hasa Wadau Wakuu Maxence Melo na Mike Mushi ila Washukuriwe mno wale Wadau wote ambao muda mwingi walikuwa wakiipambania JamiiForums kwa namna moja au nyingine juu ya hii Kesi yao hadi leo hii imemalizika rasmi.
Mwenyezi Mungu awatie nguvu, Maisha yaendelee na JamiiForums izidi Kuchanja Mbuga katika Mapambano ya Uhuru wa Habari.
Wawaache watu wateme nyongo kwa uhuru bhanaGENTAMYCINE,
Kesi imeisha mkuu ila implication yake ndio mbaya kwetu JF.
Max kahukumiwa kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao (kuficha taarifa za mteja wa JF).
Kwa hiyo kwakuwa kashindwa ina maana inabidi awe anatoa taarifa za wateja coz kuzificha ni kosa kama ilivyoamuliwa leo.
Sasa inakuwaje? Kama Hana uwezo wakuzipata?Kesi imeisha mkuu ila implication yake ndio mbaya kwetu JF.
Max kahukumiwa kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao (kuficha taarifa za mteja wa JF). Kwa hiyo kwakuwa kashindwa ina maana inabidi awe anatoa taarifa za wateja coz kuzificha ni kosa kama ilivyoamuliwa leo.
Ni kama mwenye nyumba kuzuia polisi kumchukua mpangaji wake. Polisi wakimshtaki mwenye nyumba then akashindwa basi kesho wakija tena kumchukua mpangaji inabidi usizuie.
Kesi imeisha mkuu ila implication yake ndio mbaya kwetu JF.
Max kahukumiwa kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao (kuficha taarifa za mteja wa JF). Kwa hiyo kwakuwa kashindwa ina maana inabidi awe anatoa taarifa za wateja coz kuzificha ni kosa kama ilivyoamuliwa leo.
Ni kama mwenye nyumba kuzuia polisi kumchukua mpangaji wake. Polisi wakimshtaki mwenye nyumba then akashindwa basi kesho wakija tena kumchukua mpangaji inabidi usizuie.
Wanaomba rufani upinga hukumu hiyo!Mnachekelea kutozwa faini! Hamjaona hapo katiwa hatiani kwa kukwamisha upelelezi?
Kinachofuata sasa wakitaka info zenu watapewa.
Bila kutwangana mashoka Uhuru hamna,wale walioshika bunduki wanataka kusifiwa tuWawaache watu wateme nyongo kwa uhuru bhana
Hivi JF walikataa kutoa details au walisema hawana uwezo wa kutoa details za wenye post?Hata mimi sio mwanasheria pia. Hii ilikuwa ni kesi namba 456 ya 2006, Jamhuri dhidi ya mkurugenzi wa Jf. Kama itatokea a post nyingine kabisa ambayo haiusiani na uzi uliosababisha kesi hii ikiwa polisi wanamhitaji mtoa mada(uzi) watafungua kesi nyingine tofauti na hii. Kama wakitaa kutoa ip address watag'g'ania kifungu kile kile cha 22(1) cha Cyber crimes Act,ambacho ni Obstruction to investigation.
Rufaa ni haki yao wanaweza kukatia na hapo itakuwa High Court. Na naendelelea kukumbusha precedence ni hukumu za High cout na Court of Appeal hizi ndio superior
Icourt of records hapa Tz.
Kuhusu Id ni gunuine kabisa.
Dah!.. hii ni hatari sana huko mbeleni.Kesi imeisha mkuu ila implication yake ndio mbaya kwetu JF.
Max kahukumiwa kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao (kuficha taarifa za mteja wa JF). Kwa hiyo kwakuwa kashindwa ina maana inabidi awe anatoa taarifa za wateja coz kuzificha ni kosa kama ilivyoamuliwa leo.
Ni kama mwenye nyumba kuzuia polisi kumchukua mpangaji wake. Polisi wakimshtaki mwenye nyumba then akashindwa basi kesho wakija tena kumchukua mpangaji inabidi usizuie.
Mbona unaniuliza maswali ya kizushi? Mimi sina nakala ya hukumu. Subiri tuipate. Ila nilisoma kwenye gazeti moja ishu ilikuwa ni ip adress ya mtoa mada. Sasa sina uhakika kama Jf walikataa kutoa au vipi.Na wala sina uhakika kama walikuwa nayo au vipi.Hivi JF walikataa kutoa details au walisema hawana uwezo wa kutoa details za wenye post?
IKiwa watu ambao wanaikosoa serikali Bungeni wanawekewa kila aina ya vizuizi, na ikiwa serikali imefunga uwanja wa wana siasa kuikosoa serikali kwnye mikutano ya siasa, na ikiwa magazeti yakiandika habari za kuikosa serikali yanafungiwa, ni wapi pengine Watanzania wanaweza kuikosoa serikali yao?Hapo Zaman kidogo JF palikuwa mahala pazuri sana kwa kutoa mawazo huru ya aina yoyote lakini Sasa kuna hii limetwa la kuingilia shughuli za serikali ama kupotosha umma ama kuchochea upotevu wa amani, tujifunze kusoma alama za nyakati tujue ni Kipindi gani Tupo na changamoto tulizo nazo kisiasa ili tusijingize matatizoni.
sisemi kuwa wanaharakati waache kupambana ila tu wawe tayari kwa lolote watazame vizuri ni nani wanamuona adui wa maendeleo na wanamkabili kwa namna gani.
hiki ni kipindi cha kuwa makini na muangalifu wakati unatoa maoni kuhusu chochote hasa pale maoni yanapoihusu serikali moja kwa moja.
MmmhSawa. Ila mm sina mada za udaku mkuu