Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

Hawa wamekuwa wakigawana mapato dhalimu hivyo hakuna ambaye angeripoti mwenzie.
Amini usiamini wameuawa wengi tu ka njia hii. Na hasa kwa kisingizio cha ujambazi.
 
Huyo Kamanda wa tabora bado yupo kazini tu? Only in Tanzania!
 
..Zombe ni muuaji mkubwa yule na kitanzi ni halali yake kaua wengi sana!
 
Huyu kamanda wa Tabora alikuwa mpelelezi hakuwa kwenye timu ya Zombe.

Mwandishi kachanganya mambo!
 
Kesi ya afande Zombe yahamia msituni Dar

 
sasa MKIAMBIWA HII NI JESHI LA MAJAMBAZI MTAKATA WANANCHI???????

CHIKO ALIIBA NA SASA KALETWA MJINI KWANZA KAWA MTOTO WA MJINI NA VIDILI VYAKE...KAMA ALIWEZA KUCHEZA NA MAJAMBAZI NA KUMILIKI MAGARI YA WIZI DAR SI ATAPANGA RANGE ROVER.....


MAHITA YEYE KAAMUA KULA KUKU!!!!ANAJITAHIDI KUJITAKASA NA WATU ALIOUA KWA KUTOA MISAADA MISIKITINI!!!!!!

LINI MAJAMBZI POLISI WATACHUKULIWA HATUA JAMANI??????
 
Kwa kweli Zombe anapaswa kuubeba huo mzigo maana baada ya kuachiwa kukaimu ukamanda wa mkoa ndiyo ujambazi ukazidi
 
Kwa kweli Polisi hapa kuna mnuko wa ujambawazi ndani ya geshi la polisi. Angalieni Jeshi la wananchi watachukua nchi! Ufisadi, mikataba mibovu, kutojali wananchi wa chini, maisha mabaya kwa kasi mbaya, hatuendelei bila sababu ya msingi, uzembe, utovu wa nidhamu, ufuska, anasa, majidai, majivuno, kujigamba kwa viongozi, n.k. Wamesahau viongozi baadhi kuwa hii nchi ni ya wananchi na sio yao. Hili narudia tena. Ni kama mpira ukiujaza hewa siku zte hewa hutafuta pa kutokea manake "pancha". Sas nguvu ya wananchi inajazwa na viongozi wasiofanya maamuzi kwa manufaa ya wengi bali ya mtu mmoja. Kulindana. Haya itakuwa kama utani wa ngumi ujue. Hayeni jamani msalieni mtume.
 
Zombe ataka SMG

2008-09-03 10:28:18
Na Hellen Mwango

 
Zombe adaiwa kutumia simu ya upepo kufanikisha mauaji ya wafanyabiashara

Na Nora Damian

 
...Zombe lilikuwa ni jambazi liuaji ndani ya system ambalo lilitakiwa kulinda wananchi lakini likawa linafanya opposite kwa maslahi yake,nina uhakika kuna wengi sana ndani ya system kama Zombe,Zombe lazima afungwe maisha aozee jela(niko against death penalty lakini naona he deserve more than death),sijui kwanini halitaki kufanya confession ili kusave pesa za walipa kodi hili jangili!
 
Nina wasiwasi kama Zombe atahukumiwa kwa haki. Kwa muelekeo ulivyo jamii ishamtia hatiani kabla ya hukumu.

Hii inajenga precedence mbaya sana huko tuendako, tuiache mahakama ifanye kazi ikiwa kila mtu anakuwa hakimu ni hatari sana kwa utawala wa sheria. He is innocent until proved guilty
 
Hawezi kutiwa hatiani kwa sababu moja tu.
Anayo kadi ya sisiemu.
Habari ndio hiyo.
 
Asipotiwa hatiani nitaona kweli hakuna haki na mahakama itakuwa imehujumiwa kwa kweli...maana naona dhahiri....ameshiriki na ndio mchezo wake sana
 
Nahisi kama haki haitatendeka tena wananchi watakosa imani na ongozi za nchi hii na siku si nyingi wataweza kuwa ndio mahakama ndio BOT ndio mamlaka zote ndio kila kitu katika kusimamia vitu vyao na sio watu wachache wanao**** nchi hii bila ******
 
Nasikia huko bongo watu wanaandamana kuunga mkono hotuba ya Kikwete bungeni.... ila je watu wakitaka kuandamana kupinga hotuba hiyo watapewa kibali??? au wataambiwa polisi wachache wa kulinda ila wa kuwazuia wapo wengi.....?
 
Ushahidi wazidi kumkaba Zombe, adaiwa kuandaa kuihadaa Tume

Na Nora Damian

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…