Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

Ahsante sana Mtambuzi kwa kutuwezesha kuifahamu kesi hii kwa undani kidogo, maana tulikuwa tunaisikia kwa masimulizi ya juu juu.
Kitu ambacho sijakiona katika kesi hii ni mashahidi wa pande zote mbili kama ilivyokuwa katika kesi ya Asha Mkwizu ama zile kesi za wamarekani. Hapa unaonekiana ushahidi wa daktari Haule pekee.

Btw, hivi huyu daktari Haule ndiye yule aliyekuwa mume wa Asha Mkwizu ama ni majina tu yamefanana?
 
Last edited by a moderator:
Haya ni Ijumaa nyingine tena wasomaji wa JF, nimekuja na kesi hii iliyowahi kutokea hapa hapa nchini miaka ya mwishoni mwa 1970. Leo sina maneno mengi, nawaachie wenyewe msome na kuweka maoani yenu...........
mkuu we mwanasheriaa hizi kesi zako zinanivutia sanaaa
 
Kwanza wali commute to
life sentence,kisha Mwalimu akamuachia after seven years,she is alive
and well,yuko hapa dar maeneo ya keko.

ndiyo hivyo mambo ya sheria ila huyo baba(GEORGE) ana share yake ya lawama.
 
Huyu Dr. Haule huyu ndiye yule wa Asha Mkwizu?
Kuna mdau alijibu hili swali.............

Thanks Mtambuzi!kesi hii ni moja ya kesi zilizowahi kutikisa jiji la Dar,kamakesi ilivyofuata kwenye miaka ya 80 mwanzoni kesi iliyomuhusu Dr huyu huyu kwenye kesi hii.Jambo kubwa hapa,kesi zote zilihusisha mambo ya mapenzi,tena kwa vijana wasomi wa kipindi hicho!na zote zilipelekea mauaji ya kutisha!!!Jamo moja kubwa la kujifunza hapa kwetu sote,pamoja na madhaifu yetu kama binadamu,hakuna jambo linaloweza kuumiza nafsi ya mwenzio kama usaliti wa mapenzi.Na basi tunapoamua kuingia katika ndoa ni lazima uamuzi huo uwe umefanyika kwa dhati!!Leo mzee Liundi pamoja na heshima yake katika jamii nadhani ni jambo linalomuumiza mpaka siku mauti yatakampomkuta!!!TUPENDANE KWA DHATI!!!!NDOA SIO MAIGIZO AU MAKARATASI YA MAKANISANI,MSIKITINI AU KWA MKUU WA WILAYA!!
 
Ahsante sana Mtambuzi kwa kutuwezesha kuifahamu kesi hii kwa undani kidogo, maana tulikuwa tunaisikia kwa masimulizi ya juu juu.
Kitu ambacho sijakiona katika kesi hii ni mashahidi wa pande zote mbili kama ilivyokuwa katika kesi ya Asha Mkwizu ama zile kesi za wamarekani. Hapa unaonekiana ushahidi wa daktari Haule pekee.

Btw, hivi huyu daktari Haule ndiye yule aliyekuwa mume wa Asha Mkwizu ama ni majina tu yamefanana?

Kwenye Bold, swali hili lilijibiwa na mdau hapa chini...........
Thanks Mtambuzi!kesi hii ni moja ya kesi zilizowahi kutikisa jiji la Dar,kamakesi ilivyofuata kwenye miaka ya 80 mwanzoni kesi iliyomuhusu Dr huyu huyu kwenye kesi hii.Jambo kubwa hapa,kesi zote zilihusisha mambo ya mapenzi,tena kwa vijana wasomi wa kipindi hicho!na zote zilipelekea mauaji ya kutisha!!!Jamo moja kubwa la kujifunza hapa kwetu sote,pamoja na madhaifu yetu kama binadamu,hakuna jambo linaloweza kuumiza nafsi ya mwenzio kama usaliti wa mapenzi.Na basi tunapoamua kuingia katika ndoa ni lazima uamuzi huo uwe umefanyika kwa dhati!!Leo mzee Liundi pamoja na heshima yake katika jamii nadhani ni jambo linalomuumiza mpaka siku mauti yatakampomkuta!!!TUPENDANE KWA DHATI!!!!NDOA SIO MAIGIZO AU MAKARATASI YA MAKANISANI,MSIKITINI AU KWA MKUU WA WILAYA!!

Kuhusu maelezo ya mashahidi naomba uniwie radhi, kwani nilipata kesi ya rufaa, na sikupata kesi ya mahakama kuu ambayo ina details zote...........Nasikitika kwamba juhudi zangu hazikuzaa matunda, lakini naamini sijawaangusha, nimejitahidi kuiandika kwa makini ili nisipoteze maana.
 
Doris alikuwa na state of mind which would be subjected to defence of diminishing responsibility. This defence is given when an accused mind was 'impaired' at the time of committing a crime. However it was not in our laws at the time. The judge could not read it in our laws or at invoke it as a new law
Ronn M ..........Ahsante kwa maoni yako.......... Naomba usaidie kujibu baadhi ya maswali ya kisheria yatakayojitokeza humu, maana ki ukweli mimi sio mtaalamu wa sheria........................!
 
nikicompare na hii ya lulu wa kanumba basi naona katoto kuachiwa na kenyewe!

Kezi za jinai huwa proved beyond reasonable doubt, yaani mtu mwenye akili timamu akiulizwa kuhusu hatia ya mtuhumiwa aseme bila shaka yoyote kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo! Sasa hii ya Lulu kila mwenye akili timamu anajiuliza 'ni kweli haka 'katoto' kalimwua kanumba? In absence of clear evidence this kid will be free, most likely
 
Thanx brother Mtambuzi. Nimekuja tena kwa mara nyingine mimi ex detective - the listener. Wakati naanza kusoma kisa hiki katika hatua za mwanzo mwanzo akilini ikawa inanijia picha ya kuwa huyu mama atashinda kesi kwani yaonekana kweli alipata rukwa na akili - temporary insanity'. Kama zisingekuwepo barua alizoandika na kuonyesha dhamira yake ya kufanya mauaji ya watotot wake, kuna kila dalili kuwa angeweza kuwa huru. Barua hizi zinaonyesha wazi kuwa alikuwa anajua fika ni nini alikuwa anakifanya wakati anawapa sumu wanae na suala hili hasa ndo lililopelekea kumtia hatiani

Thanx again brother kwa visa hivi kwani naona narefresh kwa kazi nilizofanya miaka ya nyuma. I hope next friday utakuja na kitu kingine motomoto
The Listener ...............Mkuu nautambua uwepo wako katika thread hii, leo mimi nimeamua nisiwe mchangiaji sana niwaachie wasomaji.......................
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mzee Liundi mwenyewe hakuingizwa katika kesi?
 
Ronn M ..........Ahsante kwa maoni yako.......... Naomba usaidie kujibu baadhi ya mashali ya kisheria yatakayojitokeza humu, maana ki ukweli mimi sio mtaalamu wa sheria........................!

Bila shaka mkuu, nitajitahidi pale niwezapo na kupata muda
 
Last edited by a moderator:
Kezi za jinai huwa proved beyond reasonable doubt, yaani mtu mwenye akili timamu akiulizwa kuhusu hatia ya mtuhumiwa aseme bila shaka yoyote kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo! Sasa hii ya Lulu kila mwenye akili timamu anajiuliza 'ni kweli haka 'katoto' kalimwua kanumba? In absence of clear evidence this kid will be free, most likely
Ronn M ...............Nimekusoma mkuu..........Ahsante sana
 
Last edited by a moderator:
Kezi za jinai huwa proved beyond reasonable doubt, yaani mtu mwenye akili timamu akiulizwa kuhusu hatia ya mtuhumiwa aseme bila shaka yoyote kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo! Sasa hii ya Lulu kila mwenye akili timamu anajiuliza 'ni kweli haka 'katoto' kalimwua kanumba? In absence of clear evidence this kid will be free, most likely

Hiyo standard ya beyond a reasonable doubt nayo ni subjective vile vile. O.J. Simpson watu wengi waliona kuwa ana hatia. Ushahidi wa kisayansi pia ulionyesha hatia yake. Hata physical evidence pia zilionyesha ana hatia. Lakini jurors wakamuona hana hatia.

The bottom line is law is maddeningly subjective because so much is usually left up to individual interpretation and that's why sometimes you have wrongful convictions and wrongful acquittals.
 
Hiyo standard ya beyond a reasonable doubt nayo ni subjective vile vile. O.J. Simpson watu wengi waliona kuwa ana hatia. Ushahidi wa kisayansi pia ulionyesha hatia yake. Hata physical evidence pia zilionyesha ana hatia. Lakini jurors wakamuona hana hatia.

The bottom line is law is maddeningly subjective because so much is usually left up to individual interpretation and that's why sometimes you have wrongful convictions and wrongful acquittals.

You are right, subjective interpretation is a problem. Just like many of Tanzanian judges do, especially where there are some interest involved. Likewise appealling system is there to make sure there is checks and balance, very unfortunately it doesnt work with our political courts here in Tanzania
 
Kuhusu maelezo ya mashahidi naomba uniwie radhi, kwani nilipata kesi ya rufaa, na sikupata kesi ya mahakama kuu ambayo ina details zote...........Nasikitika kwamba juhudi zangu hazikuzaa matunda, lakini naamini sijawaangusha, nimejitahidi kuiandika kwa makini ili nisipoteze maana.

Mkuu Mtambuzi nimekuelewa sana, najua utunzaji wa kumbukumbu katika taasisi zetu za umma bado ni tatizo na ukizingatia mahakama ndiyo kabisa, bado hawajaweza kuziweka kwenye electronics devices ili iwe rahisi kupata rejea.

Bila shaka tumenufaika sana na maelezo haya uliyoyatoa hapa na ninakutakia tu afya njema ili uendelee kutupa darasa la maisha hapa JF. Naamini panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu utafikia lengo lako la kuwafikia watanzania wengi kupitia vyombo vingine vya habari mathalani magazeti, majarida na television.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom